Kitila Mkumbo
JF-Expert Member
- Feb 25, 2006
- 3,354
- 1,943
mpaka kieleweke, hayo ya kununua shahada haitoshi kusema, pandeni watu watakaojifanya wanauza warekodini muwaumbie hadi hivi sasa hakuna ushahidi wowote wa CCM kununua maana ungekuwepo ungetolewa.
Kuna ugumu gani wa kupanda wauza shahada feki ili muwakamate wanaonunua?
You are right. Nafikiri this time mbinu zote zitumike ili hili liwe wazi na watu waumbuke na ndio utakuwa mwisho wa huu mchezo kama huwa kweli upo. Bila kukamatwa mtu itaonekana ni manung'uniko ya kawaida, kama iliwezekana kuwaumbua katika BoT naamini hili ni rahisi zaidi maana linahusisha wananchi wenyewe. Wapeni vijana hadi tape record warecord kila kitu, ngoja tuishie hapa tusije tukasema na yasiyotakiwa kusikika!