Uchaguzi wa kesho Unaweza kuwa mwanzo wa Kusambaratika CCM

ibange

JF-Expert Member
Dec 31, 2010
1,543
550
Ukiangalia mambo critically, kuna watu ndani ya CCM wangependa CCM ishindwe Igunga ili wawashe moto kuwashutumu akina NAPE kwa kukisambaratisha chama kwa hoja yao ya kujivua gamba. natabiri ikiwa CCM ikianguka kesho ndio utakuwa mwisho wa umoja ndani ya chama. Makundi yatajitokeza hadharani na kushutumiana kuhusu kudhoofisha chama kwa hija za kujivua gamba. Mwisho chama kitagawanyika kabla ya uchaguzi wa mwaka kesho. natamani hiyo itokee
 
ukitaka kuyaamini maneno yangu, soma gazeti la RAI la juzi uangalie lilivyoiponda CCM kuanzia mwanzo hadi mwisho. Gazeti hili mara zote limekuwa mdomo wa kundi la Lowassa.
 
ukitaka kuyaamini maneno yangu, soma gazeti la RAI la juzi uangalie lilivyoiponda CCM kuanzia mwanzo hadi mwisho. Gazeti hili mara zote limekuwa mdomo wa kundi la Lowassa.

Mkuu Deo Balile (wa Rai) amemshambulia Mukama na Chama Chake. Kumbe Mukama ndiye aliyekuja na falsafa ya kujivua gamba baada ya kujifungia chumbani na Prof gani sijui na kutoa ushauri kwa CCM jinsi ya kurudisha mvuto kwa wananchi!! CCM ina mpasuko mkubwa na kwa hakika vimelea vya CCJ vipo tena vina nguvu.
 
Mkuu Deo Balile (wa Rai) amemshambulia Mukama na Chama Chake. Kumbe Mukama ndiye aliyekuja na falsafa ya kujivua gamba baada ya kujifungia chumbani na Prof gani sijui na kutoa ushauri kwa CCM jinsi ya kurudisha mvuto kwa wananchi!! CCM ina mpasuko mkubwa na kwa hakika vimelea vya CCJ vipo tena vina nguvu.

Mkuu Kimbunga mambo mengi unayo yaona yanaikaba koo CCM mpishi mkuu ni Mukama na genge lake.Ndiyo maana akapewa ukatibu mkuu .Ssaa kesha kalia kitu jamaa alimwahidi ushirikiano lakini kila akigusa JK anaona moto mkali so Mukama kabakia kama Nape wote wana elea tu .Msekwa yeye anawaza kuuza vitalu vyetu huko mbugani .JK na mikutano ya DIKOTA .
 
CCM ikishindwa tutasema kuwa Tanzania kuna demokrasi na itaonekana kuwa Kikwete alishinda kwa haki kwenye uchaguzi ulio pita. Hapo ndio ulimwengu utawaona Kina Slaa ni wanafiki.
CCM ikishinda basi kuna mawili, CDM kufa au CDM kuonekana kuwa chama cha msimu. Na ukweli ni kuwa hakuna fujo itakayo tokea.
 
Adui yako mwombee njaa usimwombee balaa kama hilo watatoka wenyewe baada ya kuona maji shingo hawawezi ogelea
 
Mkuu Deo Balile (wa Rai) amemshambulia Mukama na Chama Chake. Kumbe Mukama ndiye aliyekuja na falsafa ya kujivua gamba baada ya kujifungia chumbani na Prof gani sijui na kutoa ushauri kwa CCM jinsi ya kurudisha mvuto kwa wananchi!! CCM ina mpasuko mkubwa na kwa hakika vimelea vya CCJ vipo tena vina nguvu.

Pro erginald mihanjo wa chuo cha st john cha dodoma.
 
Ukiangalia mambo critically, kuna watu ndani ya CCM wangependa CCM ishindwe Igunga ili wawashe moto kuwashutumu akina NAPE kwa kukisambaratisha chama kwa hoja yao ya kujivua gamba. natabiri ikiwa CCM ikianguka kesho ndio utakuwa mwisho wa umoja ndani ya chama. Makundi yatajitokeza hadharani na kushutumiana kuhusu kudhoofisha chama kwa hija za kujivua gamba. Mwisho chama kitagawanyika kabla ya uchaguzi wa mwaka kesho. natamani hiyo itokee

Simple analysis,but very true...
 
Wakuu miaka yote tumeishi kwa ndoto tunasubiri ccm ife lakini hamna kitu,migogoro ndani ya chama haijaanza leo lakini mara zote kipo imara tu,me nafikiri umefika muda tuache kuishi kwa ndoto tuimarishe chama letu la wachaga kusubiri ccm ife ni tamaa za fisi na mkono wa binadamu,na kuthibitisha upinzani tanzania ni dhaifu
 
Ukiangalia mambo critically, kuna watu ndani ya CCM wangependa CCM ishindwe Igunga ili wawashe moto kuwashutumu akina NAPE kwa kukisambaratisha chama kwa hoja yao ya kujivua gamba. natabiri ikiwa CCM ikianguka kesho ndio utakuwa mwisho wa umoja ndani ya chama. Makundi yatajitokeza hadharani na kushutumiana kuhusu kudhoofisha chama kwa hija za kujivua gamba. Mwisho chama kitagawanyika kabla ya uchaguzi wa mwaka kesho. natamani hiyo itokee
  1. Naamini kabisa kuna wana-Magamba wanaombea kesho CHADEMA ISHINDE kwa hali na mali ili hii SERA FAKE YA KUJIVUA GAMBA IDHIBITIKE KUWA NI MOJAWAPO YA SIASA UCHWARA ZA CCM.
  2. Naamini kuna Viongozi waandamizi wa CCM hawakukanyaga Igunga kabisa na wengine wameenda huko kwa KULAZIMISHWA!RA ni mojawapo ya wana-Magamba anayesubiri ANGUKO LA CCM kesho kwa shauku kubwa.
  3. Naamini kuna wanachama wa CDM na Watz wapenda HAKI,AMANI,UPENDO na DEMOKRASIA YA KWELI ambao usiku wa leo wataomba kwa Mungu ili Mungu abatilishe mipango yote miovu ya CCM na hatimaye CHADEMA kiweze kuchukua kiti cha Igunga.
Tusubiri matokeo baada ya dk.90.
 
Back
Top Bottom