Uchaguzi wa Kenya waahirishwa Nchi iko mkononi mwa nani ?

Lunyungu

JF-Expert Member
Aug 7, 2006
8,873
1,894
Tume ya Taifa ya Uchaguzi ya Kenya imeahirisha kutangaza matokeo hadi madai ya wizi wa kura yachunguzwe.Hii ni Tume huru ambayo haina uoga na mtu na iko kwa ajili ya Wakenya . Swali ni kwamba je nani anaongoza Nchi ? KIbaki anajulikana bado ni Rais lakini Katiba ya Kenya inasema Rais lazima awe Mbunge na Bunge la Kenya lilivunjwa kutoa nafasi ya Uchaguzi. Je ni jesho liko in control ?

Naomba kusikia toka kwenu hapa tunaichambua Katiba na Hatima ya Kenya .
 
Tension over presidential results
By NATION Reporter

Results trickling in show President Kibaki and ODM’s Raila Odinga in a tight race for Kenya’s top job, with returns in from more than half of the 210 constituencies.
Electoral Commission chairman Samuel Kivuitu said as at 2.30pm, Mr Odinga had 3,880,053 votes against President Kibaki’s 3,842,051.

Mr Kivuitu said they had since received more presidential results, for which tallying was still underway and updated figures would be released any minute now.

As at 6pm, the commission was yet to receive results from 19 constituencies.

The 19 include Kamukunji, Starehe, Changamwe, Kisauni, Garsen, Mandera Central, Kitui West, Kathiani, Mwala, Kibwezi, Gatundu South, Turkana North, Turkana Central, Kacheliba, Baringo Central, Kajiado North, Malaba, Ikolomani and Emuhaya constituencies.

A result released on Nation’s digital platforms at around 3pm was confirmed as erroneous. The incorrect figures had Mr Odinga at 4.5m and Mr Kibaki 4.2m, and was wrongly computed following a mix-up in constituency tallies.

Delays in the release of the presidential results has caused a panic across the country, with riots being reported in Nairobi, Mombasa, Eldoret, Kisumu, Kakamega, Busia, Homabay, Migori and Kericho.

The electoral commissioners are currently holed up in a meeting following protests from the Orange Democratic Movement alleging that results from some constituencies had been doctored to favour the incumbent.
 
Military ready for presidential election
By ODHIAMBO ORLALE
Last updated: Wed, Dec 26, 2007 18:04 PM (EAT)
Military officers today held a rehearsal at Nyayo National Stadium for the presidential inauguration expected soon after tomorrow’s election.

The colourful event drew a big crowd of curious onlookers.


The Army commander, Lieutenant-General S.K. Njoroge, did not state when or where the real ceremony will be held after a winner emerges in the elections.


The commander described the rehearsals as ‘normal’, saying they have always done it on the eve of a General Election.


Said the commander: “We have two rehearsals, one for the incumbent and one for a new president, depending on the outcome of the elections.”


Government spokesman, Dr Alfred Mutua, also said arrangements for the swearing-in ceremony had been finalised, but he did not elaborate.


The front runners in the presidential race are the incumbent, President Kibaki, and his two former Cabinet ministers and ODM’s Mr Raila Odinga.


The army, the air force and the navy officers arrived at the venue from 7am.


They were watched by some of the 1,051 clerks and 308 presiding and deputy presiding officers hired by the Electoral Commission to man the polling stations in Lang’ata constituency.


The lieutenant-general was the man of the hour who, acting as the president, was driven in the ceremonial Land Rover reserved for their Commander-in-Chief, the Head of State.


After the brief lap of honour round the stadium, the army commander inspected a guard of honour and then proceeded to the presidential dais escorted by senior officers.
 
Any updates on the kenya elections mimi silali nawaza ninikinaendelea. please give me good news kuwa Kibaki kaondoka state house.
 
Any updates on the kenya elections mimi silali nawaza ninikinaendelea. please give me good news kuwa Kibaki kaondoka state house.

Hakuna update tena. Wameshaiba uchaguzi lakini wanaogopa kutangaza kwa sababu Kenya inaweza kuwaka moto, sasa wanabuy time na kuandaa nguvu za dola kukabiliana na vurugu zozote za wale ambao hawataridhika na matokeo hayo.
 
Any updates on the kenya elections mimi silali nawaza ninikinaendelea. please give me good news kuwa Kibaki kaondoka state house.

Jumapili asubuhi(30/12/07)Saa Moja kwa saa za Kenya, Tume ya Uchaguzi ya Kenya pamoja na Wawakilishi wa vyama vyote watatoa kauli ya Pamoja kuhusu Matokeo ya Jumla ya Uchaguzi Mkuu.Kwa vyovyote itakavyokuwa Kauli yao itatoa tena Vurugu na Mshikemshike maeneo ya mijini.Inaonekana Serikali ya Bwana Kibaki inataka kupinda Matokeo!
 
Typical African leaders kuachia madaraka hadi wauawe ama watu wafe kisa wamezoea utamu .Too bad
 
Hakuna update tena. Wameshaiba uchaguzi lakini wanaogopa kutangaza kwa sababu Kenya inaweza kuwaka moto, sasa wanabuy time na kuandaa nguvu za dola kukabiliana na vurugu zozote za wale ambao hawataridhika na matokeo hayo.

Hii kwa kweli inasikitisha jinsi ambavyo nchi za affrica hazibadiliki ila hii ya Kenya is over 2 much siku zote hizi wanaachiwa waibe kura kwa kuchelewa makusudi

kama Odinga hatakuwa raisi hiyo ni pole sana kwa Kenyans maana viongozi na Moi ndani watakula pesa za nchi hadi wapasuke matumbo
 
Tume ya Taifa ya Uchaguzi ya Kenya imeahirisha kutangaza matokeo hadi madai ya wizi wa kura yachunguzwe.Hii ni Tume huru ambayo haina uoga na mtu na iko kwa ajili ya Wakenya . Swali ni kwamba je nani anaongoza Nchi ? KIbaki anajulikana bado ni Rais lakini Katiba ya Kenya inasema Rais lazima awe Mbunge na Bunge la Kenya lilivunjwa kutoa nafasi ya Uchaguzi. Je ni jesho liko in control ?

Naomba kusikia toka kwenu hapa tunaichambua Katiba na Hatima ya Kenya .

Its shame ... !! Its shame...!! tusemeje? hakuna kuheshimu katiba hapa. Kibaki angekuwa na hekima kidogo tu asingeingiza nchi hapo napoipeleka. Hakuna anayejali cha katiba hapo? hakuna anyejali .. Nafikiri its vacum controlling the country.
 
Matokeo yameshatangazwa na Kibaki ni mshindi la msingi ni nini mustakabali wa Kenya.Suala si kuiba kura bali ni kwa njia gani wameiba ilihali kila chama kina mawakala wake.
Na hapo ndipo role ya mawakala yatakiwa ionekane.
 
Matokeo yameshatangazwa na Kibaki ni mshindi la msingi ni nini mustakabali wa Kenya.Suala si kuiba kura bali ni kwa njia gani wameiba ilihali kila chama kina mawakala wake.
Na hapo ndipo role ya mawakala yatakiwa ionekane.

Ni punguani tu ndo atapinga kuwa kura hazikuibiwa na kama ni mfuatiliaji wa namna democracy inavyotawala basi kwa hili la Kenya sijui mtu wa namna hiyo hajui kura zimeibwa kwa namna gani?

Kenya ipo katika machafuko makubwa, mpaka sasa zaidi ya watu Mia moja wamepoteza maisha. Kwa kweli viongozi hawajali maisha yetu. Kwao aibu ya kushindwa nikubwa na hawawezi kuimili ukilinganisha na kutoa roho za watu. Viongozi wamechoka kimtizamo ambao siku zote wanafikiri nchi inapendeza wao wakiwepo na kamwe hawatambui kuwa mwisho wao upo. No Longer Ateasy, kifo pia ni suluhisho kwa mwanadamu. Vipi kama tungekuwa tunaishi milele, leo Moi angekuwa bado anaitawala Kenya, au Kibaki angebaki milele.


Hakika ukiwa na rafiki mwizi basi nawe ni mwizi tu. Kibaki yalimkuta mwaka 1997 pale Moi alipofanya kitu mbaya na alilalamika juu ya demokrasia na uhuru wa wananchi. Lakini alipofika mamlakani aliwaacha watu safi kama Raila na kushikamana na Moi ambaye mwisho wa siku anampa Kibaki mbinu ya kubaki mamlakani kwa dhana tu, anadola atakuwa na uwezo wa kuweka mambo sawa. Moi na Kibaki hawajui kuwa mambo yanabadilika haraka. Mazingira ya watu kukubali upuuzi wa 1997 ni tofauti na wa leo 2007. Leo hii kunamitandao, tatizo kama la wizi wa kura si swala la kuisi bali linawekwa wazi zaidi na namna linavyotendeka. SMS zinapeleka ujumbe kwa watu wengi na hata makamishna wa Tume wananjia mbadala wa kueleza kile kinachotendeka bila wao kujulikana. Demokrasia ilianza kukuwa na wakenya walianza kujenga Utaifa. Leo hii Kibaki amekuza Ukabila kwa Kiwango kikubwa kuliko wakati wowote.

Poleni ndugu zangu wa Kenya, bado naona mna mzigo mzito na suluhu haipo karibu hakika mikono ya Rais wenu inadamu sector zote zimechafuka na sasa watalii watapotea kitambo. Raila ni mpiganaji asiyechoka alipaswa kupewa nafasi ambayo wakenya kwa hiyari yao wamempa na katika hali ya uzuni kabisa amenyang'anywa roho inamuuma na anasilaha kubwa nayo ni eneo la mabanda. Hakika Damu ya Walala hoi hawa ndiyo itakayoisambaratisha Kenya na kushusha adhi ya Kibaki na hata wakwao watamsusa. Hakuna mtu ambaye atapenda kujitambulisha hivyo, kutokana na Kile kibaki atakachokuwa amevuna kutokana na matokeo ya kura hizi.

MOI NI YULE YULE MUHUWAJI, AMEZEEKA TU LAKINI HAJABADILIKA AKISHIRIKIANA NA BIWOT MWENYE HASILA YA KUANGUSHWA KWENYE UBUNGE DAMU NYINGI ITAPOTEA ARDHINI WAKATI WENGINE WANAZIHITAJI MAHOSPITALINI WAPATE KUPONA.

CCM nyinyi ni wataalamu wa kukaba haki za watanzania kwa kutumia mawakala, pesa na kura hewa ipo siku mtatufikisha hapo kenya walipo. Hakika hatutafanya makosa, tutauwana lakini lazima tutaandika historia mbaya kwenye familia zenu. Kama wakenya wataendelea kupambana hakuna namna ya kuiruhusu familia ya Kibaki ihishi wala ya Moi. They have to feel pain, they have to mourn. Anayepingana na democracia hana haki ya kuishi he better go to heal.
 
0 Reactions
Reply
Back
Top Bottom