Tresor Mandala
JF-Expert Member
- Aug 20, 2010
- 37,430
- 78,595
pia kuna makunduchi
Wana JF visiwani ni wachache sana, si unajua tena mambo ya teknolojia. Hao wachache waliopo wamerundikana pale Mji Mkongwe na kidogo Darajani. Ukienda Uzini, Kibandamaiti, Mchambawima na kwingineko watu sio wafuatiliaji wa JF.Ina maana hakuna mwa jf huko atupe pamoja na mambo mengine ila pia na majina ya hao wanaogombea!
Wana JF visiwani ni wachache sana, si unajua tena mambo ya teknolojia. Hao wachache waliopo wamerundikana pale Mji Mkongwe na kidogo Darajani. Ukienda Uzini, Kibandamaiti, Mchambawima na kwingineko watu sio wafuatiliaji wa JF.
Subiri Arumeru kazi ianze ndio utaona JF ni noma, hadi akina Msekwa wanaisingizia ni ya CDM kwa jinsi watu wanavyorusha news na mapicha
Uchaguzi ktk jimbo Uzini unafanyika leo Jumapili Feb. 12. 2012
Vyama vitano vinashiriki ie CHADEMA, CUF, CCM TADEA na ...
Tunaomba walioko huko watupe Update za kinacho endelea
Asante naomba kuwasilisha
Wana JF visiwani ni wachache sana, si unajua tena mambo ya teknolojia. Hao wachache waliopo wamerundikana pale Mji Mkongwe na kidogo Darajani. Ukienda Uzini, Kibandamaiti, Mchambawima na kwingineko watu sio wafuatiliaji wa JF.
Subiri Arumeru kazi ianze ndio utaona JF ni noma, hadi akina Msekwa wanaisingizia ni ya CDM kwa jinsi watu wanavyorusha news na mapicha
Wazenji Mdebwedo hajui kubofya keyboard za computer!
Keyboard za Computer hawawezi kuzibofya lakini mambo mengine wanajua kuyachakachua maana wadada wa Kibongo wakisikia kama Kidume hichi kinatoka Zenj hususan Pemba wanakua wapo hoiiiiiiiiii! Inaonekana Wapemba wapo juu zaidi kwa 'Kazi' za usiku ingawa kwenye keyboard wapo nyuma kama alivyosema!
Hayo ndio majina ya kizanzibari kama Faki, mfereji wa wima, mchamba wima, dole n.k
Nadhani hili jina lilitolewa ili kupinga ile sheria/dhana ya dharula
Huu Uchaguzi hatukupata Habari zozote ni kwasababu ilikuwa ni Visiwani Pemba? Hii inaonyesha jinsi Uduni wa waandishi wetu wa habari Ufinyu wa fedha, Ufinyu wa habari ni lazima waambiwe hawana utafiti wowote kwahiyo habari sio news break kila mtu anaandika hicho hicho, na magazeti ni tofauti - wamechoka angalia mgomo wa Madaktari Waandishi wetu hawakuwa wachunguzi wa kupata mpya
Walikuwa tu wanasema kiongozi wa Madaktari kajificha, hawajui sababu na hawajua madai ila wote wako upade wa kusikiliza serikali itasema nini; Oh RAIS, kaondoka kaacha Mgomo as if RAIS ndio mtu pekee atayesuluhisha masuala hayo...
Tunasikitisha Sana
Kila la kheri CDM!
Chance ya CDM kushinda huko ikoje?
Hayo ndio majina ya kizanzibari kama Faki, mfereji wa wima, mchamba wima, dole n.k
Kwa statement yako hii unadhihirisha jinsi mlivyo wajinga.Keyboard za Computer hawawezi kuzibofya lakini mambo mengine wanajua kuyachakachua maana wadada wa Kibongo wakisikia kama Kidume hichi kinatoka Zenj hususan Pemba wanakua wapo hoiiiiiiiiii! Inaonekana Wapemba wapo juu zaidi kwa 'Kazi' za usiku ingawa kwenye keyboard wapo nyuma kama alivyosema!