mikatabafeki
JF-Expert Member
- Dec 29, 2010
- 12,772
- 4,641
​lets wait n see
segerea lazima ichukuliwe na chadema'tutapamba mpaka tone la mwisho
Kuna kila dalili za kurudiwa kwa uchaguzi wa jimbo la segerea ni kutokana na kesi inaenda vizuri kwani mashaidi wanamkaanga makongoro mahanga kuna kila dalili za wazi aliyekuwa mgombea kwa tiketi ya chadema kushinda kesi hiyo wito wangu kwa makamanda wote tujitokeze kwa wingi kwenye kesi hili tuonyeshe nguvu ya umma kama kawaida
Nawasilisha.
Kabla ya yote tubu kwanza, kama ulisema usilolijua, kwa hayo uliyosema hapo kwenye red ambayo sithubutu hata kuyanukuu.Nimeamini kweli upumbavu wa Mungu ndo akili ya mwanadamu. Walivyojifanya wanadhurumu haki za wapigakura Mungu alijifanya mjinga kumbe ni ili watu wengi waweze kuwa na ufahamu wa kujua haki zao. Mungu tunakushukuru. Unabii unatimia kuwa Mungu ameshuka baada ya vilio vya watz kutoboa mbingu.