Uchaguzi wa Igunga na Juhudi za Kukandamiza upigaji kura

safari waliojiandikisha ni wale wale; hivyo kubwa ni nani anajitokeza kupiga kura.

Mwaka mmoja baada ya uchaguzi mengi yametokea. kuna waliotimiza miaka 18, kuna waliokufa na kuna waliopoteza vitambulisho vyao vya kupiga kura.

NEC kuruhusu uchaguzi kufanyika bila kuhakiki daftari la wapiga kura IGUNGA, ni njama ya kukwamisha wengi kupiga kura.

inawezekana watakaojitokeza wakawa wachache zaidi ukilinganisha na mwaka jana
 
sasa kama uchaguzi utaamuliwa kwa kura itakuwaje kwa ccm waliokwisha nunua kadi za wapiga kura na tayari wanazo?
Inavyoonyesha ni kwamba tayari wameshapiga kura na sanduku zimefichwa darini, zitashushwa baada ya watu kupiga kura.

kuzuia hujuma hiyo, ni kuhakikisha makamanda wa upinzani, polisi na wasimamizi wanakuwa makini wakati wa zoezi la kupiga na kuhesabu kura. Mtu yeyote atakaye jaribu kuhujumu, apigwe mpaka kufa
 
pongezi kwa chadema kwani kwa maendeleo endelevu inaonyesha wanakwenda 2015 wakiwa wanaongezeka nguvu na vyama vingine vinashuka

CDM ni kama CHINA wakati CCM ni marekani , kwa mtazamo wa leo CCM ni mshindi lakini kwa mtazamo wa kesho CDM ni mshindi
 
Back
Top Bottom