Ibrah
JF-Expert Member
- Mar 22, 2007
- 2,729
- 528
Nimesikiza TBC asubuhi hii nijisikia kukata tamaa. Ati uchaguzi wa Mwenyekiti wa Wazazi Mkoa wa Tanga umeahirisha baada ya kura zilizopigwa kuzidi idadi ya wapiga kura!
Wagombea wa nafasi hiyo walikuwa nia Henry Shekifu RC Manyara (Mtetezi wa kiti), Dk. Mohammed Mhita (mgombea), M. Risherd (Mgombea). Habari zinasema kuwa katika awamu ya kwanza hakuna mgombea alifikia idadi ya kura zinazohitajika. Kwa kuwa Dk Mhita alishika mkia, wagombea wa juu- Shekifu na Risherd walipigiwa kuwa awamu ya pili na ndipo kindumbwendumbwe kilitokea pale ilipobainika kuwa jumla ya kura zilizopigwa zilikuwa ni zaidi ya wajumbe waliopiga kura!
Nilijisikia kutishwa na Ufisadi unaofanyika kwa kiwango hicho katika Uchaguzi huo wa CCM Wazazi na kusababisha nijiulize kama wagombea hawa (Shekifu na Risherd) ni waadilifu kuaminiwa kupewa nafasi za Uongozi katika nchi hii.
Wagombea wa nafasi hiyo walikuwa nia Henry Shekifu RC Manyara (Mtetezi wa kiti), Dk. Mohammed Mhita (mgombea), M. Risherd (Mgombea). Habari zinasema kuwa katika awamu ya kwanza hakuna mgombea alifikia idadi ya kura zinazohitajika. Kwa kuwa Dk Mhita alishika mkia, wagombea wa juu- Shekifu na Risherd walipigiwa kuwa awamu ya pili na ndipo kindumbwendumbwe kilitokea pale ilipobainika kuwa jumla ya kura zilizopigwa zilikuwa ni zaidi ya wajumbe waliopiga kura!
Nilijisikia kutishwa na Ufisadi unaofanyika kwa kiwango hicho katika Uchaguzi huo wa CCM Wazazi na kusababisha nijiulize kama wagombea hawa (Shekifu na Risherd) ni waadilifu kuaminiwa kupewa nafasi za Uongozi katika nchi hii.