Mbavu za Mbwa
JF-Expert Member
- Jan 2, 2011
- 303
- 154
Ni ukweli usiopingika kuwa, mchakamchaka wa uchaguzi unaoendelea ndani ya CCM unatawaliwa zaidi na makundi hasimu mawili ambayo yanatajwa kutaka watu wao wachaguliwe na kujiweka katika mazingira mazuri ya ushindi ndani ya chama. Angalia: ziara za Nape mikoani hivi karibuni, zilikuwa na lengo la kudhoofisha na kuharibu nguvu za kundi la LOWASA na kujenga kundi la MEMBE. Wakati Lowasa akitajwa kuwa amejiimarisha vilivyo ndani ya chama, Membe anaelezwa kuwa ana fuko kubwa la fedha maarufu kwa jina la "mabilioni ya Gaddafi". TUJADILI: NANI YUPO UPANDE WA LOWASA Na NANI YUPO UPANDE WA MEMBE na makundi mengine