Nipo Arusha nilikuwa napitapita Arumeru kujua hali ya hewa huko. Vijana wengi wanalalamika kuwa walikuwa hawajajiandikisha na wengine walipoteza vitambulisho na wengine wamerudi kutoka mererani na maeneo mengine walipokuwa wamejiandikisha, wengine walikuwa hawajafikisha miaka 18 uchaguzi uliopita. Wengi wao ni wafuasi wa chadema.
Kijana mmoja alini impress ana argue kwamba ni haki yake ya kikatiba kupiga kura na wakati wa uchaguzi wa mwaka juzi hakuwa amefikisha umri. Pia anasema kulikuwa hakuna sababu ya daftari la kudumu maana ilikuwa kazi yake ni kurahisisha mambo. Wameniahidi wanatafuta mwanasheria though hawana hela ili wafungue kesi ya kikatiba Mahakama Kuu na waombe kusimamisha uchaguzi.
Nafikiri hawa vijana pamoja na kwamba wanaonekana hawana shule ya maana wana hoja na inaonyesha ni vipi watanzania wameanza kujua haki zao
Kijana mmoja alini impress ana argue kwamba ni haki yake ya kikatiba kupiga kura na wakati wa uchaguzi wa mwaka juzi hakuwa amefikisha umri. Pia anasema kulikuwa hakuna sababu ya daftari la kudumu maana ilikuwa kazi yake ni kurahisisha mambo. Wameniahidi wanatafuta mwanasheria though hawana hela ili wafungue kesi ya kikatiba Mahakama Kuu na waombe kusimamisha uchaguzi.
Nafikiri hawa vijana pamoja na kwamba wanaonekana hawana shule ya maana wana hoja na inaonyesha ni vipi watanzania wameanza kujua haki zao