- Thread starter
- #21
OMG.... WTF.... KMA!!!!!
Kitila na wenzako, this is not good aisee, hebu wekeni mambo sawa na muwe organized; chadema sasa ni another level kwahiyo wekeni vitu sawa. Ikibidi ajirini full time people wawafanyie protocol and procedure management na kama mnao watoeni muweke wengine hao wamefeli!! hatujasahau ya kule kusini mlivyotolewa kwenye uchaguzi, fomu imechukuliwa kabla ya confirmation ya mgombea
WE LOOK TO YOU FOR QUALITY, CHANGE NOW!!!
Hii ni dhahiri kuwa Chadema kama chama bado hakijawa tayari kutawala
Kuichagua Chadema kwa namna ilivyo sasa ni kuiweka nchi katika ombwe kubwa zaidi la utawala kuliko ilivyo sasa.