Ben Saanane
JF-Expert Member
- Jan 18, 2007
- 14,581
- 18,124
- Thread starter
- #21
Toa ushahidi ulio nao.Kama watu wanashindwa ku-face wenzao kwenye ballot box wasitafute excuse.Ni jambo la aibu sana baadhi ya wanasiasa vijana kufanya siasa za kuchafuana zilizopitwa na wakati.mjue kwamba mkakati wenu wa kuidhoofisha uvccm hautawezekana.na hili litaenda kamatiku ya ccm hakuna tena kuvuruga chaqguzi zetu.Ushahidi upo.mmeshindwa hata kubadili fomati ya tamko lako la uchaguzi wa bavicha na mantiki ile ile ndiyo mliyotumia kuandika tamko la sango na hasa kuitukana jumuiya ya vijana kuwa ya watoto wa vigogo.wewe ndio umekuwa mtumiajia mkuu wa hii misamiati.kamwe uvccm haichaguliwi viongozi na viajana wa bavicha na hata kama wanatishia kuhamia chadema.chama kinasafishwa kurudishwa katika mstari
No need for character assassins to continue to use pseudo names in making allegations against me or others that cannot be substantiated . No need for anyone to try to paint me or someone else black because they want people to believe that i'm bad or wicked.All their useless politicking will definitely not work since it has never worked.
ben! Bado tu unarumbana na brains ndogo kama hizi!
Buberwa,
Asante kaka.
Usipoweka rekodi sawa watu wanaweza kuaminisha watu uwongo.I really pity him for I could see the anguish in his mind as he was pouring out his rage.These unpatriotic elements flavour their resolve with some laughable condiments. Reading them only evoke laughter and pity in view of the manifest failure of the intellect as well as the abundance of human inanities
Wanasiasa vijana wanatia aibu kutumia mbinu hii kudhoofisha wengine kisiasa.Ni tabia chafu sana.Watatue matatizo yao huko kwenye chama chao wanakogombania fito.Tuendelee kuijenga CHADEMA,Tusonge mbele kamanda!