Jumboplate
Senior Member
- Jul 29, 2008
- 133
- 10
Nimekuwa nikifuatilia sana vipindi (miaka) ya chaguzi na kugundua kuwa fedha nyingi sana hapa Tanzania zinapotea kisa tu kufanikisha demokrasia. Naomba nieleweke, tatizo hapa sio demokrasia bali tija ya chaguzi zetu hasa upande wa rais hususan Tanzania Bara.
Tujiulize ni fedha kiasi gani zinatumika kuanzia uandikishaji ktk daftari la wapigakura, mchakato wa mzima wa kampeni na mpaka siku ya kupiga kura...ni fedha nyingi sana ambazo zingeweza kutatua matatizo mengi sana ya hii nchi. Naomba nieleweke tena sina tatizo ktk chaguzi za madiwani na wabunge ila tatizo langu lipo ktk uchaguzi wa rais. Kwa mfano ni obvious kuwa hata wapinzani wenyewe wanafahamu kuwa Kikwete atashinda ktk uchaguzi huu, na Kikwete anashiriki ktk uchaguzi huu ili kuvunja rekodi yake ya ushindi wa 80% ya mwaka 2005 ila na yeye anafahamu kuwa lazima ashinde but still tunahangaika as if hatufahamu jambo hili.
Ushauri wangu ni kuwa kwa nafasi ya rais uchaguzi uwe unafanyika kila baada ya miaka 10 mpaka hapo watanzania tutakapofikia level ya demokrasia ya wenzetu waliofikia hatua ambayo hadi siku ya upigaji kura mshindi bado anakuwa hajafahamika.
Tujiulize ni fedha kiasi gani zinatumika kuanzia uandikishaji ktk daftari la wapigakura, mchakato wa mzima wa kampeni na mpaka siku ya kupiga kura...ni fedha nyingi sana ambazo zingeweza kutatua matatizo mengi sana ya hii nchi. Naomba nieleweke tena sina tatizo ktk chaguzi za madiwani na wabunge ila tatizo langu lipo ktk uchaguzi wa rais. Kwa mfano ni obvious kuwa hata wapinzani wenyewe wanafahamu kuwa Kikwete atashinda ktk uchaguzi huu, na Kikwete anashiriki ktk uchaguzi huu ili kuvunja rekodi yake ya ushindi wa 80% ya mwaka 2005 ila na yeye anafahamu kuwa lazima ashinde but still tunahangaika as if hatufahamu jambo hili.
Ushauri wangu ni kuwa kwa nafasi ya rais uchaguzi uwe unafanyika kila baada ya miaka 10 mpaka hapo watanzania tutakapofikia level ya demokrasia ya wenzetu waliofikia hatua ambayo hadi siku ya upigaji kura mshindi bado anakuwa hajafahamika.