RedDevil
JF-Expert Member
- Apr 30, 2009
- 2,367
- 1,519
WanaJF, kama tulivyozoea kuoa chama tawala kikitumia pesa nyingi kuhahakisha kinashinda chaguzi mbali mbali hapa nchini. Ninaomba sasa tukubali kabisa kuwa uchaguzi mwaka huu hautakuwa huru na wahaki.
Hili halina ubishi wala mjadala kwani tayari tumeona dalili kwa kuanza kura za maoni ndani ya chama tawala, yaani CCM. Kwa kuzingatia hili ninayo maombi yafuatayo!
1) Ninaomba NEC itoe tamko rasmi kuwa mwaka huu uchaguzi hautakuwa huru na wa haki hivyo ni bora mwananchi ajipange kuhakikisha analinda kura yake.
2)Wananchi wote wajulikane watakopiga kura kila sehemu na majina yao tuyahakiki haraka iwezekanavyo vinginevyo tutaendelea kupiga kelele "ufisadi" wakati tunaupenda sisi wewe wananchi.
3) Kwa kura wananchi wengi watapiga kura mwaka huu,"assumptions" inabidi basi wananchi waruhusiwe kukaa kituoni hadi pale matokeo yatakapotangazwa.
Ruksa kuongeza au kubadili kilichoandikwa.
Hili halina ubishi wala mjadala kwani tayari tumeona dalili kwa kuanza kura za maoni ndani ya chama tawala, yaani CCM. Kwa kuzingatia hili ninayo maombi yafuatayo!
1) Ninaomba NEC itoe tamko rasmi kuwa mwaka huu uchaguzi hautakuwa huru na wa haki hivyo ni bora mwananchi ajipange kuhakikisha analinda kura yake.
2)Wananchi wote wajulikane watakopiga kura kila sehemu na majina yao tuyahakiki haraka iwezekanavyo vinginevyo tutaendelea kupiga kelele "ufisadi" wakati tunaupenda sisi wewe wananchi.
3) Kwa kura wananchi wengi watapiga kura mwaka huu,"assumptions" inabidi basi wananchi waruhusiwe kukaa kituoni hadi pale matokeo yatakapotangazwa.
Ruksa kuongeza au kubadili kilichoandikwa.