Hakuna chama cha kuoindoa ila WATANZANIA ndio mwenye uwezo wa kuwatoa CCM Madarakani na wengine, Lakini Kupitia CHADEMA Wanaweza kufanya haya yote
Michael kwanza inabidi uwe na chama kama Taasisi sio chombo cha watu wachache.chama chako bado kina mapungufu mengi Ambayo yanatakiwa kufanyiwa marekebisho.
kwanza unatakiwa upate Mwenyekiti kwa maana ya Mwenyekiti sio mtu wa kuruka na helkopta ndio iwe sifa ya uenyekiti. ndio nikapendekeza kuwa pamoja na yaliyomkuta Kitila na Mfanyakazi wake wa ndani bado KITILA ni ASSET kwa Chadema,Mbowe ana mambo mengi ambayo yanawazuia watu kujiunga na Chadema. kina Morgan au Zumma wamepita kwenye movements ambazo zimewajenga kisiasa.
Mbowe si mtoto wa Masikini,baba yake na familia yake zimenufaika sana na serikali ya Nyerere,elimu duni ya Mwenyekiti n.k ni mambo ya Chadema kuyafanyia kazi,lakini kama Katiba haifuatwi uchaguzi ulikuwa ufanyike toka Mwaka jana hakuna kilichofanyika au hadi wanachama waandamane kwa msajili wa vyama ndio uchaguzi ufanyike? kama ni Wangwe amekwishakufa mnaogopa nini kufanya chaguzi?
Upendeleo wa wazi kuteua wabunge wa viti maalum ni ushahidi kuwa Chadema kina safari kubwa ya kuwa chama kama Taasisi ni si kundi la watu wachache wenye nasaba za kifamilia.hawezekani Ndesamburo aseme "Mwanangu Lucy Owenya awe mbunge kwa tiketi ya Chadema" na hakuna kura wala taratibu iliyopitisha kwenye chama kumpa wadhifa huo.
KOMMU nae akasema mke wake ANNA KOMU awe mbunge na akawa. yaani Chadema hawana baraza au jumuiya ya kina mama au wanawake ambako ungefanywa uchaguzi kuwapata wabunge wa viti Maalum?