Uchaguzi Mkuu wa Bavicha-Mwanahalisi laeleza kila kitu nyuma ya pazia

Big up mwanahalisi toka taarifa zienze kuvuma nilijua tu ukweli nitaupata mwanahilisi na kweli nimeupata.
 
kanunuliwa kubenea?acha masihala hili ndio gazeti la ukweli tz utafiti wa kutosha NGOJA NIPATE NAKALA.
 
Big up mwanaharisi nchi hii magazeti yapo machache tu tunayoyaona yanaandika habari nzuri sema watanzania wanadanganywa na magazeti ambayo waandishi wake wanaandikia habari room,watu wanakarishwa chini wanafundishwa na watu leo andikeni "NAPE ACHOTA WANACHAMA 380" KUTOKA CHADEMA ukijiuliza kwa akili ya kawaida hayo maeneo vyama vyingine wanachama wake hawahami kama CUF etc,Yaani kuna waandishi wanakuwa controlled na sisemi ile mbaya.
 
Nimelisoma gazeti la leo la mwanahalisi.Nimekuwa nikifurahishwa na uandishi wa gazeti hili kutokana na umahiri wa waandishi wake.Pamoja na mambo yote mazuri yaliyoandikwa leo,nimefurahishwa na habari inayohusu uchaguzi mkuu wa Bavicha uliomalizika.Hakika kila kitu kimewekwa hadharani.Kuna mgombea mmoja ambaye alituhumiwa kutoa rushwa kwa wajumbe kupitia M-pesa na Tigo Pesa.Wengine tulidhani labda ni majungu tu yaliyosababishwa na wapinzani wake.Kumbe hisia zetu hazikuwa sahihi.Mwandishi wa gazeti la mwanahalisi Alfred Lucas ametoboa kila kitu,ameenda mbali kwa kutaja na kuziandika namba zote zilizopokea pesa hizo mpaka muda zilipotumwa.Hakika hii nimeipenda.Huu ndio uandishi na uchunguzi wa habari tunaoutaka.Hakuna atakayesimama na kusema niliondolewa kwenye mchakato kwa uonevu.Mambo yote yako hadharani.Hata wale Matomaso waliopenyeza uongo wa porini wataamini sasa...........
Hongera Mwanahalisi,waandishi wengine igeni mfano huu.

i dont buy newspapers. I BUY MWANAHALISI
 
Back
Top Bottom