miku
Senior Member
- Oct 24, 2011
- 148
- 185
Jamani waungwana hebu fikiria hali halisi ya maisha ya leo ,,,,, kisha angalia migogoro ya viongozi wao kwa wao ,,,,, je unahisi yupi atakua bora japo hata tumpatie uongozi wa kuibeba nchi yetu kwa muda huo wa miaka mi tano ??? kweli inauma saaaaana kuiona serikali haijutii kupoteza sifa yake kabisa kwa watu wake hasa watanzania wenye nia ya dhati kabisa ya kuikomboa nchi yaoooo. jamani ni heri tuka angalia kwa makini nia nani wa kumpa tena nchi hii kwa miaka japo mi5 ili tuone nae atafanya nini kwetu ???/