Uchaguzi mkuu 2010.

masssaiboi

JF-Expert Member
Feb 10, 2009
636
132
Wanajamii vp tukianzisha kampeni ya kuwanyima ccm kura ili wajue kwamba wao pia siyo miungu watu, tukiweza kuimiza vijana wetu kupitia mitandao inaweza kusaidia kuielimisha jamii.
 
shida ni tumchangue nani..vyama vyote miozo! Ukweli ni kwamba hakuna chama kinachoonyesha uongozi bora..
so till then, afadhali zimwi likujualo!
 
Back
Top Bottom