Mods na Invisible, hivi criteria ya mtu kuwa JF Senior Expert Member ni ipi? Waliberali kama hawa nao wanastahili sifa hizo?...pls assist...
Je hatima vp? Huku kata ya mbezi juu (mbezi beach) CHADEMA imechikua uongozi wa serikali ya mtaa wa Jogoo kwa kishindo kikuu.
Je hatima vp? Huku kata ya mbezi juu (mbezi beach) CHADEMA imechikua uongozi wa serikali ya mtaa wa Jogoo kwa kishindo kikuu.