Tehteh! Hao watu wameamia lini huo Mtaa? Au ndio washachongewa kadi fake.
mkuu sisi tuko kimanga kwa maandalizi,tupia ma updates basi...Ndg wanaJF,
Kwa sasa nipo mtaa wa uchaguzi Mabibo ambapo kuna vuta n'kuvute kati ya CHADEMA na CCM kutokana na ushindani mkali uliopo. CCM walikuwa wanasomba watu,CHADEMA wakashtukia....Stay tuned!
Mama mwingine akumbana na nguvu ya umma baada kuja kutaka kupiga kura mara ya pili, amesalimu amri na kwenda zake asiseme kitu. Walioletwa kwa gari toka mitaa ya jirani nao watimuka![/QUOT
chezeni bundasliga!teh teh teh!
Mods na Invisible, hivi criteria ya mtu kuwa JF Senior Expert Member ni ipi? Waliberali kama hawa nao wanastahili sifa hizo?...pls assist...Tunataka katiba mpya iharamishe Kiti moto a k a Nguruwe by Wenye Imani kali.
Hivi uchaguzi n leo jpili kwanini si jmatano? Watu wako kanisani.