Bata batani
JF-Expert Member
- Nov 11, 2011
- 3,181
- 3,547
wadau......mnaotoka jimbo la segerea huenda ukarudiwa kutokana.......matokeo ya ubunge jimbo hilo .....la segerea hii inatokana na kesi aliyowakilishwa na fred....mpendazoe......na mashaidi waliotoa ushaidi huenda uchuguzi ukarudiwa...