Elections 2010 Uchaguzi mdogo, CCM 3, CUF 3, Chadema 1

Sielewi kwanini z'bar nao bado wanafanya chaguzi wakati CCM na kafu wameungana

eniwei, its a way of staying important

in short kafu is a redundant political party with its zanzibar leader being pkata utepe... ceremonious leader
 
Mbona matokeo haya yamewahi sana kutangazwa, leo saa 1 asubuhi kwa majira ya E.A matokeo yalikuwa tayari, mbona wa 31st yalichukua week nzima, NEC tuelezeni tuelewe.

Huna haja ya kusikia porojo za Tume. Wao walisema ya 31st Oct ni kwa sababu ya Jiografia, sasa jiografia ya Mpanda vijijini ukilinganisha na ya ubungo na Kawe inakuwaje? au matokeo ya vituoni yalisafirishwa kwa helkopta? Ukweli ni kuwa, hizo zilikuwa ni porojo za Mchakachuaji mkuu na Mpayukaji Bw. Kiravu
 
Is a good penetration for cuf in unguja. Will misplace ccm in future while it is establishing itself in coastal then mainland as i can foresee. Well done to cuf and chadema. Chadema still have a long way to go in zanzibar but should struglle and suffer had in mainland as cuf did in zanzibar. Light for opposition parties is clear.

Those people with hatred in their hearts against cuf seem to more semitic than realistic.
 
Kwa hesabu hii inamaana CUF watakuwa na 35+ CHADEMA 43. Kwahiyo inamaana CUF wakiongeza na NCCR +TLP +UDP wanaweza kuwazidi CHADEMA?
chadema walikuwa na 45 kabla ya mpanda mjini. itakuwa 46 total. ukiongeza na at least 1 special seat itakuwa 47.
issue sio kuwazidi chadema ni kufikisha 12.5% ya wabunge wote.
 
6 speacial seats to go, nec waliweka 2 CDM 2 CCM na 2 CUF, walitaraji CDM watapata viti viwiwi TZ bara, kwa hii naona CUF watapata 3 CCM 2 na CDM 1

Sio simple counting kama unavyofikiria. Viti vinaendana na jumla ya kura za wabungo walizopata majimboni au 51% ya kura za rais wa chama kile alizopata katika jimbo ambalo chama hakikusimamisha mgombea. Kwa matokeo haya kura za Zanzibar hakuna jimbo lilokuwa na jumla ya kura 5,000 wakati Bara turn up ilikuwa ndogo ila CCM na Chadema wamescore high kuliko jumla ya CUF. ikujumlisha kura zote za majimbo 7 CCM inaongoza ikifuatiwa na CHADEMA na CUF nyuma ila vyote vitatu havipishani sana. Hivyo 2-2-2 bado ni sawa.
 
6 speacial seats to go, nec waliweka 2 CDM 2 CCM na 2 CUF, walitaraji CDM watapata viti viwiwi TZ bara, kwa hii naona CUF watapata 3 CCM 2 na CDM 1

Una maanisha nini unaposema CDM. Siye wengine ni wataalam wa digital electronics, hapo unaweza kumaanisha Code Division Multiple (CDM). Hopefully unamaanisha CHADEMA. Usiharibu majina ya vyama, unaonekana unasahau yanayosemekana kuiita NCCR Mageuzi, kama NCCR Ma.......
 
Is a good penetration for cuf in unguja. Will misplace ccm in future while it is establishing itself in coastal then mainland as i can foresee. Well done to cuf and chadema. Chadema still have a long way to go in zanzibar but should struglle and suffer had in mainland as cuf did in zanzibar. Light for opposition parties is clear.

Those people with hatred in their hearts against cuf seem to more semitic than realistic.

CUF will never replace CCM in Unguja. Kwa taarifa yako, hapo ni kwisha habari yake!! Viongozi wa CUF ni mapapeti wa ufisadi tu!!
 
This is bullshit! Wapinzania hawana budi kuacha tofauti zao..nilimsikia Maalim Sif akisema kama CUF walifuatwa na CHADEMA ili watengeneze kambi ya upinzani ila kwa sharti ya kutoshirikisha vyama vingine. CUF waka kataa na matokeo yake CHADEMA wakatangaza kambi yao peke yao na the rest (CUF, NCCR,TLP na UDP) wakatangaza kambi tofauti waliyoiita the minority utumbo gani sijui.

Mimi ushauri wangu wapinzani wote bado wana muda wa ku-revisit maamuzi yao ili wawe na win-win situation. Kuunganisha nguvu ni muhimu hasa kuelekea kwenye mgombea mmoja miaka ijayo. Naamini NCCR kuna vijana wazuri tu ukuinganisha na baadhi ya vichwa vilivyomo CUF plus CHADEMA wanaweza kutengeneza alliance nzuri sana. Haya mambo ya kutoiaminiana hayana maana..the most important wawe na bylaws zao na do's na dont's zoeleweke vizuri kwa washiriki wote badala ya kushutumiana na kutoaminiana bila mpango.
Yaani kama wangejipanga vizuri wangeweza hata kuleta ushindani mkubwa kwenye chaguzi za speaker.

Sheikh Yahya- Magomeni.

Bullshit indeed, i mean unachojaribu kukielezea hapa hakina mantiki.
sioni sababu ya kuunganisha CHADEMA na MREMA,Lyatonga. sioni sababu ya kuunganisha CHADEMA na NCCR MAGEUZI,naona sababu ya kidogo ya kuunganisha CHADEMA na CUF ila pia napata wasiwasi kwa kuwa the BOSS in CUF ameapa kuwa mwaminifu kwa SHEIN na sera+ilani ya CCM,in a way atasahau sera na itikadi za CUF kwa kuwa miaka mi5 ni mingi sana hana pa kupractice sera za CUF ila za CCM. yeye na mawaziri wake 6 watakuwa wanatekeleza kwa unyenyekevu sera za CCM,kipimo cha utendaji wao i mean KPI ni kufanikiwa kwa sera za CCM. guys,kuna CUF hapo? no wonder waliagiza wabunge wao wampigie Makinda kuwa spika kwa sbb ndiye atawasaidia na wao CUF kumeet KPI za viapo vyao,sio walifanya kwa bahati mbaya ati!sawa sawa?!

Member mwenye nguvu NCCR MAGEUZI ni KAFULILA least for now, huyu bwamdogo aliondoka vibaya sana CHADEMA, kwa jinsi alivyofanikiwa kisiasa nje ya CHADEMA atataka kuleta ushindani kwenye Muungano hivyo yeye na chama chake kinatakiwa kuomba kuungana na CHADEMA na sio CHADEMA kuwaomba NCCR. MREMA,LYATONGA need i say more? you all know and have heard his words in the campein rally(i completely count him outside opposition)

Mr MAPESA na UDP yake, kuna wakati alikaririwa akimsifu sana JK kisa amejenga daraja la jimboni kwake...alimpraise kama vile JK alijenga lile daraja kwa hisani/msaada kutoka mfukoni kwake na alitamka wazi kuwa hakuna mtu wa kushindana na wewe kwenye urais na akamwambia utatawala mpaka miaka yako 10 iishe(very low kwa mwanasiasa kama yeye),siyo mwaminifu upande huu tulipo sisi.

CHADEMA kuwaomba CUF waungane ilikuwa move sahihi na hawakutakiwa kuwaomba hao wengine
,CUF wametumia hiyo loophole kulinda uhusiano wao na CCM na sio vinginevyo. i don't trust CUF at least for now,CHADEMA you can do on your own, i believe mkifanya homework yenu sawasawa mtapata members waaminifu wasiopungua millioni saba nikiwamo mimi.


Ni mtazamo wangu against SHKH YAHYA
 
Hiz ni habari njema hasa kwa chadema nadhani tumeongeza Jembe baada ya yale mengine kama karagwe kufanyiwa mizengwe,hongera pia kwa waliojikomboa kutoka kwa MAFARAO Wa hii nchi!
 
Let the opposition form an aliance it will be a good omen for the coming 2015 election. Watu waungane wekeni taratibu na mikakati maana wote ni wamoja wa kambi ya upinzani. Kuweni wanyenyekevu wenye kuheshimiana, watulivu wenye hekima na maarifa, muweze kuibua hoja za kuwanufaisha Watanzania.
Hongera wabunge wa upinzani. Aluta Continua.

Even if you're on the right track, you'll get run over if you just sit there. Will Rogers.
 
6 speacial seats to go, nec waliweka 2 CDM 2 CCM na 2 CUF, walitaraji CDM watapata viti viwiwi TZ bara, kwa hii naona CUF watapata 3 CCM 2 na CDM 1

Kwa mtindo wa ukokotoaji wa nafasi za viti maalum, Mbunge mmoja wa CHADEMA anaweza akawa na kura nyingi kuliko wabunge wwte wa CUF. Hivyo possibility kubwa ni CCM kupata viti 4 au 3, CHADEMA 2 au 1 na CUF 1.
 
6 speacial seats to go, nec waliweka 2 CDM 2 CCM na 2 CUF, walitaraji CDM watapata viti viwiwi TZ bara, kwa hii naona CUF watapata 3 CCM 2 na CDM 1

Kama kigezo ni kura za wabunge basi special seats zitabaki vile vile 2 CCM, 2 CUF na 2 CHADEMA.
 
Sio simple counting kama unavyofikiria. Viti vinaendana na jumla ya kura za wabungo walizopata majimboni au 51% ya kura za rais wa chama kile alizopata katika jimbo ambalo chama hakikusimamisha mgombea. Kwa matokeo haya kura za Zanzibar hakuna jimbo lilokuwa na jumla ya kura 5,000 wakati Bara turn up ilikuwa ndogo ila CCM na Chadema wamescore high kuliko jumla ya CUF. ikujumlisha kura zote za majimbo 7 CCM inaongoza ikifuatiwa na CHADEMA na CUF nyuma ila vyote vitatu havipishani sana. Hivyo 2-2-2 bado ni sawa.
Si kwe;i CUF wana kura 14 or so Unguja na Pemba ilihali CHADEMA wamepata kura 8075 Mpanda Mjiji na 3,2..,.... Mpanda vijijini kufanya jumla ya kura za wabunge kwenye majimbo haya 2 kufikia around alfu 12 na kidogo. Nkenge hawakusimamisha wagombea.

Sheikh Yahya.
 
Back
Top Bottom