Uchaguzi jumuiya ya watanzania nchini algeria

engmtolera

JF-Expert Member
Oct 21, 2010
5,150
1,437
7995751.jpg


UCHAGUZI MKUU 2011/2012:Kwa kuzingatia mwongozo wa katiba ya jumuiya ya waTanzania waishio nchini ALGERIA (ATSA). Tume ya uchaguzi chini ya mwenyekiti RAYMOND MAUKI inapenda kuwatangazia majina ya wagombea katika nafasi mbalimbali kama ifuatavyo::

UWEKA HAZINA
: Sarah Swai
: Salehe Chande

UWAZIRI MKUU:
Helena Merchant
Heri Mohamed Abdallah

UMAKAMUU WA RAISI: Twalib Yusuph Mwinshehe

URAIS:
Ali Abbas Ramadhan
Gilbert Mkenda
Gibson Kilingo

NB:Kuchelewa kutolewa majina ya wagombea ni kutokana na mchujo mkali uliokuwa ukiendelea kutokana na wagombea kuwa wengi hivyo kulazimika kutumia busara za ziada.Pia tume imefikia mapendekezo mbalimbali kuhusu uongozi wa jumuiya yetu ambayo yatawasilishwa siku ya uchaguzi(22/12) mjini Bourmedes.Tume inawatakia maandalizi mema ya uchaguzi.

source: Wavuti - Habari
 
Hongereni sana wanajumuia,huo ni uwakilishi mzuri

namkuburi sana bwana mdogo Gibson Kilingo,nadhni amamaliza mbeya iyunga ni kijana mwelewa na ktk issue za uongozi anaziweza

tunawatakia kila raheli wanajumuia
 
Hao wabongo wanafanya nini huko umangani? Kwani kuna maboksi huko?

hawa vijana wanasoma ni wanafunzi,natambuwa kuwa huyo mmoja Gibson anasomea medicine na pia hao wengine pia watakuwa na major zao tofauti ktk vyuo tofauti
 
0 Reactions
Reply
Back
Top Bottom