mashikolomageni
JF-Expert Member
- Jan 5, 2010
- 1,570
- 187
80% au zaidi ya wanasiasa wa vyama vyote walikuwa ccm na baadae waligeuka na kuwa wapinzani kwakweli hata vinara kama Dr. Slaa, Said Arfi, Mrema, Maalim Seif na wengine taja, sasa huyo mwlkuhama tatizo nini