Uchaguzi France

Mie nafikiri ni tamaduni zetu,
Chukulia tu hata profesa wa ulaya mnapanda basi naye wasipokwambia huyu ni prof hutatambua. hii kitu ya kungangania ina misingi yake inabidi kuingoa kwanza sio swala la ukomavu wa demokrasia tu.

..ni kweli, sio swala la Demokrasia tu nakuunga mkono. unapozungumzia Utamaduni unazungumzia ustaarabu wa jamii fulani, yaani the level of civilisation..as far as our politics game is concerned bado hatuja staarabika,hatu practice siasa kama sayansi kama wanavyofanya wenzetu,sisi tunasema siasa ni mchezo mchafu, na kwa kuwa tuna i define hivyo basi hata ushiriki wetu katika siasa unakuwa na malengo mengine machafu tofauti na kuitumikia nchi kwa heshima na taadhima..tunatumia siasa kama fursa ya kutimizia mahitaji ya nafsi zetu ndo maana linapokuja swala la kuachia madaraka inakuwa ngumu kuwa na smooth transfer of power from one regime to the other..wenzetu wa tumikia nchi zao with honor and the intention to leave a legacy, hapa kwetu wanasiasawetu wanashiriki tu ili baadhi ya malengo yao yatimie..
 
Nothing if you ask me!

Namuona Hollande anaongea na watu wake through BBC. Na demokrasia za wenzetu zilivyo kuwa juu utasikia anashitakiwa kwa makosa alofanya katika kipindi cha utawala wake bila kujali mafanikio yake. Mungu atusaidie tuelekee huko
 
Mkuu Kichuguu unafikiri uhusiano wa Hollande na mama Merkel wa Germany na Cameroon wa Britain utakuwaje.

Nadhani huenda usiwe mzuri ila itabidi wafanye kazi pamoja. Cameron mwenyewe yuko matatani huko nyumbani kwake kutokana na sera zile zile kama za Sarkozy. Mama Merkel yeye yuko stable kwa vile uchumi wa Ujerumani bado ni imara kutokana hasa na ubora wa bidhaa zao za viwandani; viwanda vyao havikuyumbishwa kabisa na viwnada vya China.
 
Mzimu wa kadhafi!Sarko chali.akalee mwanae.A dieu Sarko.LA FRANCE FORTE.
 
Nadhani huenda usiwe mzuri ila itabidi wafanye kazi pamoja. Cameron mwenyewe yuko matatani huko nyumbani kwake kutokana na sera zile zile kama za Sarkozy. Mama Merkel yeye yuko stable kwa vile uchumi wa Ujerumani bado ni imara kutokana hasa na ubora wa bidhaa zao za viwandani; viwanda vyao havikuyumbishwa kabisa na viwnada vya China.

Suala la kuchukua hatua za kujibana au "Austerity measures" zinaumiza sana ukizingatia kwamba huduma kwa wananchi na msaada ambazo raia wamekuwa wakipata kama vile tax credits na baadhi ya social benefits kuwa zimekwatwa, kunasababisha watu hawa wawili(Sarkozy na Cameroon) kuwa matatani kwani wanakumbatia sana mafisadi.
 
Suala la kuchukua hatua za kujibana au "Austerity measures" zinaumiza sana ukizingatia kwamba huduma kwa wananchi na msaada ambazo raia wamekuwa wakipata kama vile tax credits na baadhi ya social benefits kuwa zimekwatwa, kunasababisha watu hawa wawili(Sarkozy na Cameroon) kuwa matatani kwani wanakumbatia sana mafisadi.

Hawa mapacha watatu wanawakati mgumu, ngoja tusubiri tuone
 
Suala la kuchukua hatua za kujibana au "Austerity measures" zinaumiza sana ukizingatia kwamba huduma kwa wananchi na msaada ambazo raia wamekuwa wakipata kama vile tax credits na baadhi ya social benefits kuwa zimekwatwa, kunasababisha watu hawa wawili(Sarkozy na Cameroon) kuwa matatani kwani wanakumbatia sana mafisadi.

Hii ndiyo Republicans wanaipigia kelele itekelezwe. Walitaka Obama akubaliane nao ili wamwondoe jamaa akawaona mapema. Bila ya Stimulus Spending Dunia ingeingia kwenye great depression. Republicans are looting for economic failures. I hope Americans are not stupid. UK hivi sasa ipo kwenye kwenye double deep recession, Local election iliyofanyika wiki hii imeipatia Labour ushindi mkubwa sana England and Wales, Coalition wanahaha sasa.

Huwezi kumwambia Fabrice Muamba arudi uwanjani mapema ili msishuke daraja eti kwa kuwa tu ametoka hospitali, Waingereza walifanya kosa kubwa sana kuwapigia Conservatives na sasa wanajuta. I hope this Lesson will be learned in USA.
 
Euro in turmoil after the bigger partner was out-voted. What next for the currency? The market was very jittery last week and bad news to follow after the elections in Greece.
 
Hii ndiyo Republicans wanaipigia kelele itekelezwe. Walitaka Obama akubaliane nao ili wamwondoe jamaa akawaona mapema. Bila ya Stimulus Spending Dunia ingeingia kwenye great depression. Republicans are looting for economic failures. I hope Americans are not stupid. UK hivi sasa ipo kwenye kwenye double deep recession, Local election iliyofanyika wiki hii imeipatia Labour ushindi mkubwa sana England and Wales, Coalition wanahaha sasa.

Huwezi kumwambia Fabrice Muamba arudi uwanjani mapema ili msishuke daraja eti kwa kuwa tu ametoka hospitali, Waingereza walifanya kosa kubwa sana kuwapigia Conservatives na sasa wanajuta. I hope this Lesson will be learned in USA.

Ni kweli kabisa watu wamechoka.

Hollande ametumia neno la "change", neno hili lina maana sana ukiliangalia kwa makini.

Ila tena sifahamu ni wapi Hollande atapata stimulus package, ni swali ambalo linatatiza kwani Sarkozy pengine ametoswa na wale "backers" wake kwani wengi inasemwa kwamba walikubwa ni "gumblers" wakubwa na pesa ilikuwa haionekani ikirudi.
 
Euro in turmoil after the bigger partner was out-voted. What next for the currency? The market was very jittery last week and bad news to follow after the elections in Greece.

Do you think Tanzania should worry the Euro turmoil on handling her economy while she has an assumed BIG GUNS (China and Brazil) in hand ?
 
Sarkozy asubiri kesi na kufika mahakamani kujibu madai atakayoundiwa(bambikiwa). Ni kawaida kwa viongozi wa Ufaransa baada ya kuanguka au kumaliza kipindi cha uongozi kufunguliwa mashtaka.

Shtaka moja litakalomkabili ni kukubali kupokea pesa kutoka Libya kwa ajili ya uchaguzi uliomuingiza madarakani na kukalia kiti cha urais.
 
dah! jamaa Sarkhozy anabahati mbaya....Yaani katawala Mhula mmoja tu! Kuna siku nilikuwa naangalia Aljazeera Wafaransa walikuwa wakimuita THE MOST HATED PRAZDENT EVER TO HAPEN IN FRANCE!
 
Hivi jamani wanaJF Tanzania ilituma waangalizi wa Uchaguzi huko Ufaransa?

Nadhani kuna mambo ya kujifunza mengi huko, kumtimua Rais ndani ya muhula mmoja sio jambo dogo ati
 
Do you think Tanzania should worry the Euro turmoil on handling her economy while she has an assumed BIG GUNS (China and Brazil) in hand ?

Why not? Ask our neighbours who are being used by the so called powers to form the EAC. BTW already shivers in Germany and other members of the Euro as Hollande's first issue is to renegotiate the agreement signed by Sako .... ....and what about the agreement signed by mafisadi wa Tanzania i.e. Mkapa et al .... ...
 
Hivi jamani wanaJF Tanzania ilituma waangalizi wa Uchaguzi huko Ufaransa?

Nadhani kuna mambo ya kujifunza mengi huko, kumtimua Rais ndani ya muhula mmoja sio jambo dogo ati

Kwa kuwa ubalozi upo pale Paris ilibidi mgosi kibero amwagize mwambata wa mambo ya kisiasa afuatilie uchaguzi huo.

Lakini kwa kuwa serikali labda inaona hakuna haja basi mambo yameenda bila kufuatiliwa na sidhani kama uchaguzi huo umefuatiliwa (kwa makini) na serikali na asasi zake.
 
(a) Obama alikuwa ni mwepesi sana kusindwa ila Republican hawakuleta candidate wa kumshinda Obama; huyu Romney siyo candidate wa kumshinda Obama ingawa atakuwa na pesa nyingi sana mara kumi ya Obama. Kwa hiyo Obama yuko likely kushinda kirahisi sana iwapo hali ya uchumi itabaki kama ilivyo sasa. Obama ataweza kushindwa kutokana na mvurugano wa uchumi utakaotokea huko Ulaya baada ya uchaguzi huu na hivyo labda watu kupiga kura za hasira dhidi yake ila siyo kwa sababu ya kumpenda Romney.

(b) Iwapo Sarkozy kashindwa kwa sababu ya sera zake, basi hali hiyo itakuwa ni nzuri sana kwa Obama kwa vile sera za Sarkozy zilikuwa sana kabisa na zile zinazotumiwa na Republicans, na huyu mshindi amekuwa anaahadi sera zionazofanana za zile za Obama.

Mkuu kuna vijana walisoma USA wali-apply Obama's 2008 tactics na waliprint picha kama za Obama the change we can believe in. Vijana walikuwa underground wanapita nyumba kwa nyumba. Good news in economy is bad news for Republicans siku hizi. labour market data za April zimetoka kuwa ajira laki na elfu kumi na tano zimeongezeka April na Unemployment rate kushuka mpaka 8.1% Basi Romney karukia anadai eti inatakiwa iwe below 4% na ajira ziongezeke kwa laki tano kwa mwezi.

Ila we ngoja Laobour department ikianza kutoa data za ajira laki nne kwa mwezi wataanza kulia kuwa ni za uwongo. Romney hawezi kumshinda Obama 'Ceteris paribus'!
 
dah! jamaa Sarkhozy anabahati mbaya....Yaani katawala Mhula mmoja tu! Kuna siku nilikuwa naangalia Aljazeera Wafaransa walikuwa wakimuita THE MOST HATED PRAZDENT EVER TO HAPEN IN FRANCE!

MKuu sometimes kuchaguliwa huwa kuna factor nyingi sana. Personal connection, personality, na wakati mwingine nyota tu kukuwakia. Sarkozy alipwaya sana kwenye pwesonality. Sijui kuhusu mke wake lakini kitendo cha kwenye kuona Miss aliyekuwa anaishi America nacho kinakufanya uonekane haupo connected. Sarkozy alishinda mwaka 2007 kwa kuwa alikuwa anashindana na mwanamama na nafikiri wafaransa hawakuwa tayari kwa rais mwanamama.
 
Duu Sarkozy kwa heri napenda sana Denocracy ya wenzetu imekomaa sana na wapiga kura hawana ujinga wa kutishwa usipo deliver out!!
 
Back
Top Bottom