Uchaguzi Chuo Kikuu Mlimani kulikoni!!

Kilinzibar

Senior Member
Mar 6, 2008
124
1
Ivi naomba kujua ni kitu gani kinaendelea katika Chuo Kikuu chetu sehemu ya Mlimani. Kulikua na uchaguzi ufanyike last week sasa uongozi wa huo ukasitisha uchaguzi siku moja kabla au tuseme masaa kabla sasa ni kuna kitu gani pale au ndio mambo ya Kenya na Zim nasisi tuna anza kufanyia practise kwenye Chuo chetu. haya wadau naomba maoni
 
Ivi naomba kujua ni kitu gani kinaendelea katika Chuo Kikuu chetu sehemu ya Mlimani. Kulikua na uchaguzi ufanyike last week sasa uongozi wa huo ukasitisha uchaguzi siku moja kabla au tuseme masaa kabla sasa ni kuna kitu gani pale au ndio mambo ya Kenya na Zim nasisi tuna anza kufanyia practise kwenye Chuo chetu. haya wadau naomba maoni

Ni kwamba ccm wameamua hadi kuingilia uhuru wa wanafunzi wasomi wa vyuo vikuu. Tumekuwa tunamlaumu Mkapa kuwa alitumia usalama wa taifa kudhoofisha upinzani Tanzania. Sasa subiri uone kile anachofanya Kikwete na mwanausalama Pinda.

Watahakikisha upinzani unakufilia mbali na tunakuwa kama North Korea au China vile
 
Ivi naomba kujua ni kitu gani kinaendelea katika Chuo Kikuu chetu sehemu ya Mlimani. Kulikua na uchaguzi ufanyike last week sasa uongozi wa huo ukasitisha uchaguzi siku moja kabla au tuseme masaa kabla sasa ni kuna kitu gani pale au ndio mambo ya Kenya na Zim nasisi tuna anza kufanyia practise kwenye Chuo chetu. haya wadau naomba maoni

CCM wameona giza mbele ndiyo maana leo hakuna kitu .Ndiyo ilivyo CCM wakao tayari kuua kisa madaraka .
 
Jamani Lunyungu uko wapi?

Inasemekana kuwa Mkandara amefukuza viongozi wa wanafunzi. Ukitoka London tafadhali fuatilia ujue kinachoendelea huko kwa watoto wa taifa la kesho ooooppppsss taifa la leo!
 
Waliaidi kugoma sijui kimeendelea nini, lakini kama kawaida ukifukuza mmoja basi umefukuza chuo kizima


...hivi mpaka siku hizi bado wanagoma,hivi kama wakinyimwa/delayed allowances zao wa kumbana si sponsor wao ambaye yuko wizarani/wherever? maana najua kuna private sponsorship wengi tuu siku hizi,na kazi ya chuo nafikiri ni kuwapa Elimu kwa pesa yao wanayolipa kwa kugomea kuingia darasani nafikiri ni upuuzi tuu...na chakula kama ni kibaya najua chuo walishajitoa kwenye hiyo biashara,labda sielewi jinsi hawa watu wanavyo operate,ila ni vizuri kuzuia migomo chuo wajitoe kwenye shughuli za wanafunzi kuhusu mikopo na chakula na sehemu za kulala hapo migomo itaisha!
 
koba
kugoma wamegoma jana na juzi na wanatarajiwa kuendelea na momo tatizo lilopo ni kubwa kiasi watanzania kama mnavyowajua hivi sasa wameamua hawataki kuchaguliwa viongozi just bora kiongozi.....walichofanya jaamaa waliweka watu wao wanafunzi wakasoma nyaakati wakachekecha wakachomolewa hawkauwa na sifa,,,waliobaki mmoja wa wanafunzi uliza ..mganda....watanzania wakaapa maamaayao wazazi wanampa mganda uraisi./////jama ikabidi waliobaki wawasuport katika pukurashani wakatujmia hadi mabango ya ccm ....mwisho wa siku wakatonywa na watu jamani mkifanya tu mganda kachukua.....hilo mjue!!!!!!!!!!
wakasimamisha uchagguzi wakamfwata mganda wakamweka kitimoto alete vyeti vyake vya darasa la soba tobaaaaaaaaaaaaaaaaaaaa alete vya kidatio cha nne na cha sitaa sasa sijui watamuuliza na kibali cha kuishi wanapoelekea....jamani hii ndio chuo kikuu cha mlimani ...wanasomesha watu mapaka mwaka mwaka wa tatu ndio wanauliza vyeti vyake jamani kumbe inawezekana kuna watu wengi kweli wako chuo na vyeti feki hili limenishtua sana sana ......
 
koba
kugoma wamegoma jana na juzi na wanatarajiwa kuendelea na momo tatizo lilopo ni kubwa kiasi watanzania kama mnavyowajua hivi sasa wameamua hawataki kuchaguliwa viongozi just bora kiongozi.....walichofanya jaamaa waliweka watu wao wanafunzi wakasoma nyaakati wakachekecha wakachomolewa hawkauwa na sifa,,,waliobaki mmoja wa wanafunzi uliza ..mganda....watanzania wakaapa maamaayao wazazi wanampa mganda uraisi./////jama ikabidi waliobaki wawasuport katika pukurashani wakatujmia hadi mabango ya ccm ....mwisho wa siku wakatonywa na watu jamani mkifanya tu mganda kachukua.....hilo mjue!!!!!!!!!!
wakasimamisha uchagguzi wakamfwata mganda wakamweka kitimoto alete vyeti vyake vya darasa la soba tobaaaaaaaaaaaaaaaaaaaa alete vya kidatio cha nne na cha sitaa sasa sijui watamuuliza na kibali cha kuishi wanapoelekea....jamani hii ndio chuo kikuu cha mlimani ...wanasomesha watu mapaka mwaka mwaka wa tatu ndio wanauliza vyeti vyake jamani kumbe inawezekana kuna watu wengi kweli wako chuo na vyeti feki hili limenishtua sana sana ......

Kwanza inabidi huyo Mkandara mwenyewe alete vyeti vyake vya darasa la saba hadi form six. Kisha atueleze alipata lini huo uraia wa Tanzania au kama kibali chake cha kuishi Tanzania kina ruhusa zote za usalama wa taifa oooopppppssss usalama wa majambazi na wezi wanaoongoza Tanzania ...lol
 
Back
Top Bottom