bm21
JF-Expert Member
- May 12, 2008
- 774
- 33
Hakuna namna CCM inaweza kushinda uchaguzi bila kubebwa na polisi, tume ya uchaguzi, umwagaji mkubwa wa fedha na silaha yao kubwa sana KUNUNUA SHAHADA ZA WAPIGA KURA hasa.
Phinehas pambana hadi kieleweke
CHADEMA tunaomba mtupe raha watanzania kw akuimwaga CCM huko Busanda.
Yaani mwili unasisimka kusoma hii taarifa