Ronal Reagan
JF-Expert Member
- Nov 4, 2010
- 5,299
- 3,055
Tanzania inapita ktk wakati mgumu kisiasa, kiuchumi na kijamii. Hakuna hata jambo moja ktk mambo muhimu ambalo kwa sasa linafanyika vizuri/sawasawa.
Naomba kukanushwa.
Naomba kukanushwa.
Umeambiwa wanatengeneza wenyewe na ukiona hivyo ujue wanayajaribu kama yako poa...Ivi mambo ya ndani kwa bajeti yao waliongeza stock ya mabom ya machozi
Sent from my BlackBerry 9900 using JamiiForums
Kwani chadema wako huko kama hawako sahau kutoa tamko...mwaka 2001 watu wengi sana walikufa chama gani kitishiwa kufutwa...Tunasubiri kwa hamu tamko la Msajili Tapeli Tendwa.......
Umeambiwa wanatengeneza wenyewe na ukiona hivyo ujue wanayajaribu kama yako poa...
Kwani chadema wako huko kama hawako sahau kutoa tamko...mwaka 2001 watu wengi sana walikufa chama gani kitishiwa kufutwa...
Tanzania inapita ktk wakati mgumu kisiasa, kiuchumi na kijamii. Hakuna hata jambo moja ktk mambo muhimu ambalo kwa sasa linafanyika vizuri/sawasawa.
Naomba kukanushwa.
Tunasubiri kwa hamu tamko la Msajili Tapeli Tendwa.......
Mengi saana yanafanyika:
1. Vasco Dagama bado anaendelea kutalii!
2. Mashindano ya kuhujumu bandari, TANESCO, na madini bado inaendelea;
3. Kichapo kinatembezwa kila mahali posipo na vurugu kujenga nidhamu ya woga. n.k.
Tunasubiri kwa hamu tamko la Msajili Tapeli Tendwa.......
Huo ndio utawala wa Emmanuel Nchimbi.Waziri anayekodolea macho urais.