Uchaguzi: Bububu - Zanzibar hali si shwari

Marire

JF-Expert Member
May 1, 2012
12,326
5,264
Wakuu salaam,
nimempigia ndungu yangu simu zanzibar yupo betilasi anasema amejifungia ndani na huko nje ni mabomu yanarindima tu,naombeni mtujuze mlioko huko
 
Afadhari ni wao kwa wao ingekuwa CDM hapo,wenye midomo mirefu ka mamba wa ukerewe,wangebwabwaja mpaka basi.
 
Ivi mambo ya ndani kwa bajeti yao waliongeza stock ya mabom ya machozi

Sent from my BlackBerry 9900 using JamiiForums
 
Back
Top Bottom