Mkuu olyset, hawajasema ni sababu zipi zimefanya majangu wawapige mabomu watanzania wenzao?Kimenuka huko!!bomu zinapigwa balaa.
Kimenuka huko!!bomu zinapigwa balaa.
Tafadhali tusiingilie huu ugomvi.
si umesikie juzi wife alichoma ofisi ya mume pale michenzani
Achana na ugonvi wa mtu na mkewe mkuu, utaumbuka!