Uchaguzi Arumeru-2010: Chadema(27,000) na CCM (32,000),Toa Analysis

Kuna Uhitaji Mkubwa wa CDM Kuangalia watu wanaowasimamisha kugombea viti vya ubunge na ngazi nyingine.

1.Kwa mfano Nassari aligombea na Marehemu akamshinda kwa kura nyingi sana,wakati wa kampeni marehemu hakupiga kampeni sana kwani alikuwa mgonjwa,watu walimpigia kampeni.Sasa kama alishindwa kumshinda kipindi kile,sasa hivi ataweza kushindana na mtu aliye active?

2.Mgombea anapokua ameshindwa kuna mambo mengi hua yanatokea,kuna kutofautiana ,kufarakana na mengine mengi,Nassari wont be an exception.Sasa kumrudisha mtu huyo huyo inaweza kuwa na Double implication.Badala ya kushinda mnaweza mkapoteza kura zaidi.Kwa mfano jinsi kura za CDM zilivyoshuka kule UZINI kutoka 600 mwaka 2010 hadi 200 mwaka huu.

3.Kipindi hiki CCM wanaweza kumweka kijana ambapo pia itaongeza tension kwa sababu vijana ambao ndio tegemeo la CDM watagawanyika.

3.Kwa mtazamo wangu naona ateuliwe mtu mwingine mpya mwenye maneno mapya kwa wana Arumeru na sio kumrudia huyu jamaa.Gap aliyopigwa ilikua kubwa sana.

Sumary alikuwa ana nini kipya kama si maneno yake yale yale?
 
Sumary alikuwa ana nini kipya kama si maneno yake yale yale?
Ushangae sasa....Pamoja na maneno yake yaleyale bado wananchi walimchagua kwa tofauti ya zaidi kura elfu 15......Na kuna taarifa kwamba kipindi cha kampeni alikuwa anaumwa sana,hakushiriki kampeni kikamilifu lakini bado wananchi walimchagua......Kwa sehemu/majimbo mengi ya Tanzania wananchi wanachagua mtu/chama......Hawaangalii sera zinazonadiwa katika kampeni....Na hicho ndicho kitatokea hata katika by-election ya Arumeru Mashariki
 
jamaa alikuwa anaumwa na wala hakupiga kampeni na kapata ushindi wa kura elfu 34 dhidi ya elfu 19 ya aliye mfuata. Ni wenye akili ndo wanaoweza kupambanua ukweli na uzushi.
 
Hata Igunga mlikuja na Takwimu hihivi mkaangukia pua, lile jimbo hata agombee nani halitoki kwa CCM :shock::juggle:
igunga hatukuwa na mtaji wa kutisha kama huu, tulichumpa ghafla from zero to very-close-hero, kwa upande wa Arumeru sina shaka hata mkija na mahindi ya msaada, moramu kwenye rough road haitasaidia it's too late
 
Kamanda wa Vita jembe Mwigulu unsona hao vilaza wanaojips matumsin hewa? Kams igunga baba' , kawashikishe afsbu. Kwanza wanasema uongo nasari alipats elfu 19 sio 27. Watashanga. Tunakuaminia baba Mwigulu

mkuu muombe radhi Mzinzi Mwigulu, coz huku kwetu wanyiramba wamesema basi inatosha baba malizia uendelee na CCM yako inayotufanya mtaji
 
Kuna Uhitaji Mkubwa wa CDM Kuangalia watu wanaowasimamisha kugombea viti vya ubunge na ngazi nyingine.

1.Kwa mfano Nassari aligombea na Marehemu akamshinda kwa kura nyingi sana,wakati wa kampeni marehemu hakupiga kampeni sana kwani alikuwa mgonjwa,watu walimpigia kampeni.Sasa kama alishindwa kumshinda kipindi kile,sasa hivi ataweza kushindana na mtu aliye active?

2.Mgombea anapokua ameshindwa kuna mambo mengi hua yanatokea,kuna kutofautiana ,kufarakana na mengine mengi,Nassari wont be an exception.Sasa kumrudisha mtu huyo huyo inaweza kuwa na Double implication.Badala ya kushinda mnaweza mkapoteza kura zaidi.Kwa mfano jinsi kura za CDM zilivyoshuka kule UZINI kutoka 600 mwaka 2010 hadi 200 mwaka huu.

3.Kipindi hiki CCM wanaweza kumweka kijana ambapo pia itaongeza tension kwa sababu vijana ambao ndio tegemeo la CDM watagawanyika.

3.Kwa mtazamo wangu naona ateuliwe mtu mwingine mpya mwenye maneno mapya kwa wana Arumeru na sio kumrudia huyu jamaa.Gap aliyopigwa ilikua kubwa sana.

umesomeka, na wahusika watafanya wajibu wao, one lv pamoja tutashinda
 
Kamanda wa Vita jembe Mwigulu unsona hao vilaza wanaojips matumsin hewa? Kams igunga baba' , kawashikishe afsbu. Kwanza wanasema uongo nasari alipats elfu 19 sio 27. Watashanga. Tunakuaminia baba Mwigulu
mwigulu wanaarusha hawana masihara tabia ya kubaka wake za watu watakuua
 
Kuna Uhitaji Mkubwa wa CDM Kuangalia watu wanaowasimamisha kugombea viti vya ubunge na ngazi nyingine.

1.Kwa mfano Nassari aligombea na Marehemu akamshinda kwa kura nyingi sana,wakati wa kampeni marehemu hakupiga kampeni sana kwani alikuwa mgonjwa,watu walimpigia kampeni.Sasa kama alishindwa kumshinda kipindi kile,sasa hivi ataweza kushindana na mtu aliye active?

2.Mgombea anapokua ameshindwa kuna mambo mengi hua yanatokea,kuna kutofautiana ,kufarakana na mengine mengi,Nassari wont be an exception.Sasa kumrudisha mtu huyo huyo inaweza kuwa na Double implication.Badala ya kushinda mnaweza mkapoteza kura zaidi.Kwa mfano jinsi kura za CDM zilivyoshuka kule UZINI kutoka 600 mwaka 2010 hadi 200 mwaka huu.

3.Kipindi hiki CCM wanaweza kumweka kijana ambapo pia itaongeza tension kwa sababu vijana ambao ndio tegemeo la CDM watagawanyika.

3.Kwa mtazamo wangu naona ateuliwe mtu mwingine mpya mwenye maneno mapya kwa wana Arumeru na sio kumrudia huyu jamaa.Gap aliyopigwa ilikua kubwa sana.

Mkuu, Pamoja na hiyo gap, bado Nassari ni valuable material pale Arumeru na nina imani anaweza kushinda akirekebisha kasoro zilizojitokeza safari iliyopita. Kuna sababu nyingi ambazo ziliwafanya wameru kumpa kura Mzee Sumary, na sababu zile kwa sasa hazipo. ni suala la CDM kujipanga na kufanya Kampeni za kistaarabu bila vurugu. wanahitaji ku stick kwenye point muhimu siyo kuwasema watu maana wazee wa Arumeru waliaminishwa kwamba CDM ni chama cha vurugu, CDM have to prove them wrong.
 
Hizo takwimu ulizoweka hapo juu ni za uongo.....Zimekaa kimahaba zaidi, zinapotosha kwa kiwango kikubwa....

Matokeo rasmi ya NEC ni haya hapa chini...

doc.jpg
2010 Parliamentary Election Results - As receveid by NEC
ARUSHA
WILAYA YA MERU
ARUMERU MASHARIKI
Candidate
Political Party
Number of Votes
Percentage Votes
SUMARI JEREMIAH SOLOMON
CCM
34,66162.23
JOSHUA SAMWEL NASARI
CHADEMA
19,12334.33
JOHN YESAYA PALLANGYO
CUF
2650.48
LINDA PENIELI BANA
JAHAZI ASILIA
1760.32
FANUEL GABRIEL PALLANGYO
TLP
880.16
CHARLES MOSES MSUYA
UPDP
880.16
SPOILT VOTES1,2972.33
TOTALS55,698100

The National Electrol Commission of Tanzania - Homepage

Chadema mara nyingi mnadangannyana sana kuliko ukweli halisi wa mambo! Yani kitendo cha kuweka 27000 CDM na 32000 ili ionekane mko karibu sana na CCM!
 
Even if...Jueni kwamba tangu JK aingie madarakani mara ya pili imani kwa CCM imeporomoka zaidi na wale waliokuwa na matumaini mwaka jana tayari wamebadili imani yao juu ya CCM.
Hivyo msiamini alichokipenda mtu 2010 bado ataking'ang'ania mpaka sasa..
Wewe umependa Mchumba, Then ukamkuta Mchawi na Ndondocha..Bado utang'ang'ania Tuu....Utakuwa mjinga kosoro robo
 
Chadema mara nyingi mnadangannyana sana kuliko ukweli halisi wa mambo! Yani kitendo cha kuweka 27000 CDM na 32000 ili ionekane mko karibu sana na CCM!

Pamoja na hivyo hizo kura za CCM ni baada ya kuchakachua sana na huo ndio ukweli halisi wa mambo pia!!
 
Back
Top Bottom