Ndahani
Platinum Member
- Jun 3, 2008
- 18,119
- 9,049
Kinondoni kuna msururu mrefu...Muro, Mbano, etc etc .....na sasa hivi aingie na mkuu huyu, basi kazi ipo. Azan naye pengine atakuwa amesoma na kumaliza usomi wake kisha kukidhi mahitaji ya kugombea ubunge mwaka huu pia. Who knowsHongera zake.Mimi nashauri agombee Kinondoni.Sababu nitazisema baadaye.