Uchaguzi 2010: Sauti ya wananchi iheshimiwe!

William kabla hatujaanza kujadili tathmini za uchaguzi zilizotolewa na NEC wewe binafsi bila kujali itikadi yako kichama unatoa tathmini gani? Suala la uchaguzi huu ni dosari za makusudi ili kukipa nguvu chama tawala; kimsingi NEC si chombo huru hii ikumbukwe kilikuwa ni kilio tangu wakati wa mfumo vyama vingi ulipoanza; wapinzani wa kweli wakati ule waliliona lakini wengi waliingia kwenye mtego wa ruzuku ambao unaendelea hadi leo hii; kama wapinzani kweli wanataka kuleta mabadiliko wajitoe kwenye hii mifumo ya ruzuku serikali haipashwi kulea vyama kwa ruzuku jukumu la kulea vyama ni la wanachama wenyewe, dosari ni dosari tu iwe ndogo ama kubwa uchaguzi unatakiwa uwe huru na waki.

- Tathmini yangu ni kwamba wananchi wana imani na Rais waliyemchagua, lakini wana tatizo sana na viongozi wake wa chini hasa mawaziri, ma-RCs, na ma-DCs, HOWEVER mimi kama mwanachama huru wa CCM nimetatizwa na mapungufu mengi sana yaliyojitokeza kiuongozi ndani ya chama changu, na pia nimesikitishwa sana na ushauri mbovu ambao Rais, Dr. Kikwete alikuwa akipewa na wasaidizi wake kuhusu muenendo wa kampeni hizi, ninasema hivi viongozi wote wa CCM taifa wajiuzulu sasa maana wameharibu sana na hawafai kabisaa! Hwafai kwa chama chetu CCM na hawafai katika kuweka muenendo wa CCM katika kutawala taifa, they are simply incompetent! Hawawezi na huu sio wakati wa kuoneana haya katika kuambiana ukweli!

- Ni mshauri gani aliyemshauri Rais kwenda kwenye majimbo ya viongozi wa CCM ambao politically wana tuhuma nzito sana za corruption against society, I mean huyo kiongozi afukuzwe kazi mara moja hafai huku USA tumeona Obama, akikwepa kwenda jimbo la Harlem ambako kuna kiongozi wa chama chake mwenye tuhuma nzito za corruption, tumeona viongozi wengi tu wa chama cha Obama wakigoma kuonekana naye kwenye majimbo yao wakiogopa hasira za wananchi kwa sababu policies za Obama, hazikubaliki katika majimbo yao hivi kulikuwa na tatizo gani kwa Rais kutokwenda hayo majimbo au kwa Rais kwenda kwenye hayo majimbo, lakini hao viongozi wenye tuhuma wasiwepo kwenye mikutano yake Rais?

- Tunasikia vitendo vya kuhuni katika hizi kampeni ambapo mbunge mmoja wa CCM alikuwa akigombea jimbo lake na pia kumsaidia mpinzani wa jimbo la mgombea mwenzake wa CCM, na yule mwenziwe naye anagombea kwake na huku anamsaidia mpinzani wa mwenziwe matokeo wote wawili wakashindwa na kuyaacha majimbo ya CCM yakichukuliwa na Wapinzani, I mean nani alikuwa msimamizi wa huu mkoa wa Mwanza ambako ndio tumesikia haya yametendeka, msimamizi wa taifa wa CCM huko anatakiwa kufukuzwa kazi mara moja, nasema sasa na hao wagombea wafukuzwe chama chetu mara moja maana hawatufai CCM wala taifa, I mean I can go on and on, lakini nitahakikisha kwamba ujumbe wangu unawafikia CCM taifa na hasa Mwenyekiti kwamba wakati ni huu wa kujiangalia usoni bila kuoneana aibu!, au tusubiri aibu zaidi ya mwaka 2015!


William.
 
- Great Thinkers, tunatakiwa kuongea na FACTS mkuu!

William.
Huhitaji kuwa na PHD ya Demography kujua kua hakuna wapiga kura 20m katika Tanzania yenye population ya watu 41m. Hii peke yake ilikua ni dalili ya kwanza kwamba Tume ya Uchaguzi haikuwa makini na kazi yake, au kwa makusudi kabisa waliamua kupika idadi yaw a[piga kura kwa manufaa ya waliowatuma.

Pili,Nadhaini una tambua kua Kuna copy ya matokeo ya baadhi ya vituo ambayo yanatofautiana na matokeo yaliyosomwa na Tume Ya uchaguzi, Kama Tume hiii ingekua huru na inafanya kazi yake vizuri hizi differences zisingekuwepo.
Tatu haiingii akilini hata kidogo kwa majimbo ambayo Wabunge wa Kikwete wameshindwa vibaya wanacnhi hao hao wakamchagua JK. Hii tu under common sense haiwezi ingia akilini.

Unaweza kuamini vyovyote unavyotaka lakini ukweli unabaki pale pale kuwa wananchi wanataka mabadiliko, Wananchi wamechoshwa na miaka karibu 50 ya ubadhirifu na matumizi mabaya ya mali za umma, Wamechoshwa na elimi duni inayotelewa, wamechoshwa na huduma mbaya za afya zilizopo, wamechoshwa na ughali wa maisha katika Nyanja mbalimbali, Wamechoshwa na uduni wa nyumba zao kwasababau hawawezi kujenga nyumba bora.

Ukiniambia kua 61% ya watanzania hawataki hivi vitu na baadhi ya sera bora walizokua nazo chadema Ntashangaa sana.

Kwa hiyo haka kama inauma lakini ukweli unabakia palepale kua wananchi wamechoshwa na JK na serikali ya CCM. Mtasema mengi ili kujaribu kuhalalisha utawala wake lakini ukweli ndio huu na dhamiri yenu (kama iko hai) inawasuta na kuendelea kuwasuta kwa kua ukweli mnaujua lakini hamko tayari kukiri ukweli huu.

Sauti ya watanzania iheshimiwe
 
Huhitaji kuwa na PHD ya Demography kujua kua hakuna wapiga kura 20m katika Tanzania yenye population ya watu 41m. Hii peke yake ilikua ni dalili ya kwanza kwamba Tume ya Uchaguzi haikuwa makini na kazi yake, au kwa makusudi kabisa waliamua kupika idadi yaw a[piga kura kwa manufaa ya waliowatuma.

Pili,Nadhaini una tambua kua Kuna copy ya matokeo ya baadhi ya vituo ambayo yanatofautiana na matokeo yaliyosomwa na Tume Ya uchaguzi, Kama Tume hiii ingekua huru na inafanya kazi yake vizuri hizi differences zisingekuwepo.
Tatu haiingii akilini hata kidogo kwa majimbo ambayo Wabunge wa Kikwete wameshindwa vibaya wanacnhi hao hao wakamchagua JK. Hii tu under common sense haiwezi ingia akilini.

Unaweza kuamini vyovyote unavyotaka lakini ukweli unabaki pale pale kuwa wananchi wanataka mabadiliko
, Wananchi wamechoshwa na miaka karibu 50 ya ubadhirifu na matumizi mabaya ya mali za umma, Wamechoshwa na elimi duni inayotelewa, wamechoshwa na huduma mbaya za afya zilizopo, wamechoshwa na ughali wa maisha katika Nyanja mbalimbali, Wamechoshwa na uduni wa nyumba zao kwasababau hawawezi kujenga nyumba bora.

Ukiniambia kua 61% ya watanzania hawataki hivi vitu na baadhi ya sera bora walizokua nazo chadema Ntashangaa sana.
Kwa hiyo haka kama inauma lakini ukweli unabakia palepale kua wananchi wamechoshwa na JK na serikali ya CCM. Mtasema mengi ili kujaribu kuhalalisha utawala wake lakini ukweli ndio huu na dhamiri yenu (kama iko hai) inawasuta na kuendelea kuwasuta kwa kua ukweli mnaujua lakini hamko tayari kukiri ukweli huu.

- Mkuu heshima sana, kwanza nimekubali kwamba NEC ina matatizo na mengi yake ninaamini yamefanywa kwa kutokujua zaidi kuliko makusudi, kutokuwa na nyenzo za kisasa, elimu ya kutosha kwenda sawa na wakati, pamoja na simply incompetence na ninaikubali hoja ya kuikarabati NEC nje ndani.

- Kwamba wananchi wanaweza kuwapiga chini wabunge na kumpigia kura Rais, Dr. Kikwete mimi ninaamini linawezekana sana ndio maana huku USA Senate wananchi wameipa Democrat, lakini the House wameipa Republican ni kwa maneno mengine wananchi wanataka checks and blaance katika serikali yao!

- La kwamba wananchi wanataka mabadiliko, nimelisema sana wiki hii ninalikubali sana kwamba wananchi wamechoshwa na maviongozi magoi goi kwenye serikali ya CCM. Otherwise, Demokrasia yetu inaruhusu sisi wananchi kuona picha tofauti sana katika matokeo ya huu uchaguzi, cha muhimu ni kujadiliana hapa kwa manufaa ya wananchi wote waamue pumba na mchele uko wapi, sisi ni kuweka maoni yetu, ambayo sio lazima yawe sawa!

William.
 
William tathmini yangu ni hii;
Uchaguzi huu haukuwa huru kama inavyodaiwa na wasimamizi wa nje ila nakubaliana kuwa ulikuwa na amani. Wasimamizi wa nje wanaweza kuona uchaguzi ni huru kwa sababu ni kawaida kwa chaguzi nyingi wanazosimamia kwenye bara la Africa zinaishia kwa vurugu na mauaji kitu ambacho hawakukiona Tanzania. Ni kwa nini nasema haukuwa huru; kwanza uhuru wa vyombo vya habari haukuwepo vyombo vyote vya habari vililazimishwa kuitangaza CCM; kitu ambacho hata wasimamizi wa nje walikiona, pili tume ya taifa ya uchaguzi NEC si chombo huru hata utoaji wake wa ni wa mashaka kwa sababu kipo kwa maslahi ya chama tawala, mfano NEC katika taarifa yake imesema watanzania waliojiandikisha ni mil. 20, waliopiga kura ni mil.8 watu mil.12 hawakujitokeza kupiga kura hesabu hii ni ya kutengeneza haina ukweli. CCM imetumia pesa nyingi za serikali kwenye kampeni zake kitu ambacho wapinzani hawakuwa nacho.

Umeongelea suala la kimsingi nanukuu " pia nimesikitishwa sana na ushauri mbovu ambao Rais, Dr. Kikwete alikuwa akipewa na wasaidizi wake kuhusu muenendo wa kampeni hizi, ninasema hivi viongozi wote wa CCM taifa wajiuzulu sasa maana wameharibu sana na hawafai kabisaa! Hwafai kwa chama chetu CCM na hawafai katika kuweka muenendo wa CCM katika kutawala taifa, they are simply incompetent! Hawawezi na huu sio wakati wa kuoneana haya katika kuambiana ukweli!." Hawa viongozi wa kitaifa ni mpaka mwenyekiti wake mh. Kikwete hawana uwezo wa kuendesha chama ni wababishaji.
Pia nimefurahi ulipogusia kuwa Obama hakwenda Harlem kumpigia kampeni Charles Rangel kwasababu ana kashfa wamarekani wana msemo " in real political life there is no friendship; if you want friend have a dog." maana yake kwenye siasa hakuna urafiki kazi tu kahawa na bia baadaye, mh. Raisi anatia sana mashaka anapojihusisha na viongozi ambao wanahusishwa na kashfa kubwa za rushwa na hilo ndilo linaloendeleza chuki na mipasuko ndani ya chama hatukatai mh. Raisi asiwe na urafiki na Lowasa bali vitu hivyo ndivyo vinavyofanya tuamini hata Kikwete mwenyewe si msafi na siamini kama Raisi anawashauri wa kweli . Hata hii habari ya MZA ya wagombea wa CCM imechangiwa sana mipasuko hii. Viongozi wa CCM wanapaswa kuelewa ule msemo wa sisi ndio tumeleta uhuru haufanyi kazi wananchi wanachotaka sasa hivi ni uhuru wa maendeleo.
 
William tathmini yangu ni hii;
Uchaguzi huu haukuwa huru kama inavyodaiwa na wasimamizi wa nje ila nakubaliana kuwa ulikuwa na amani. Wasimamizi wa nje wanaweza kuona uchaguzi ni huru kwa sababu ni kawaida kwa chaguzi nyingi wanazosimamia kwenye bara la Africa zinaishia kwa vurugu na mauaji kitu ambacho hawakukiona Tanzania. Ni kwa nini nasema haukuwa huru; kwanza uhuru wa vyombo vya habari haukuwepo vyombo vyote vya habari vililazimishwa kuitangaza CCM; kitu ambacho hata wasimamizi wa nje walikiona, pili tume ya taifa ya uchaguzi NEC si chombo huru hata utoaji wake wa ni wa mashaka kwa sababu kipo kwa maslahi ya chama tawala, mfano NEC katika taarifa yake imesema watanzania waliojiandikisha ni mil. 20, waliopiga kura ni mil.8 watu mil.12 hawakujitokeza kupiga kura hesabu hii ni ya kutengeneza haina ukweli. CCM imetumia pesa nyingi za serikali kwenye kampeni zake kitu ambacho wapinzani hawakuwa nacho.

Umeongelea suala la kimsingi nanukuu " pia nimesikitishwa sana na ushauri mbovu ambao Rais, Dr. Kikwete alikuwa akipewa na wasaidizi wake kuhusu muenendo wa kampeni hizi, ninasema hivi viongozi wote wa CCM taifa wajiuzulu sasa maana wameharibu sana na hawafai kabisaa! Hwafai kwa chama chetu CCM na hawafai katika kuweka muenendo wa CCM katika kutawala taifa, they are simply incompetent! Hawawezi na huu sio wakati wa kuoneana haya katika kuambiana ukweli!." Hawa viongozi wa kitaifa ni mpaka mwenyekiti wake mh. Kikwete hawana uwezo wa kuendesha chama ni wababishaji.
Pia nimefurahi ulipogusia kuwa Obama hakwenda Harlem kumpigia kampeni Charles Rangel kwasababu ana kashfa wamarekani wana msemo " in real political life there is no friendship; if you want friend have a dog." maana yake kwenye siasa hakuna urafiki kazi tu kahawa na bia baadaye, mh. Raisi anatia sana mashaka anapojihusisha na viongozi ambao wanahusishwa na kashfa kubwa za rushwa na hilo ndilo linaloendeleza chuki na mipasuko ndani ya chama hatukatai mh. Raisi asiwe na urafiki na Lowasa bali vitu hivyo ndivyo vinavyofanya tuamini hata Kikwete mwenyewe si msafi na siamini kama Raisi anawashauri wa kweli . Hata hii habari ya MZA ya wagombea wa CCM imechangiwa sana mipasuko hii. Viongozi wa CCM wanapaswa kuelewa ule msemo wa sisi ndio tumeleta uhuru haufanyi kazi wananchi wanachotaka sasa hivi ni uhuru wa maendeleo.

- Well, sawa mkuu una point nzito sana, lakini naomba ksuema hivi karibu wananchi wengi kimsingi tunakubaliana kwamba NEC inahitaji ukarabati mkubwa sana, so far ninaepuka sana kujadili nisiyoyajua na kuyathibitisha, kwa maana ya exactly ni nini mapungufu ya NEC kwenye huu uchaguzi, lakini ninaikubali hoja kwamba NEC inahitaji mabadiliko makubwa sana tena ya kisheria kuliko ya kisiasa na ni kazi ya wabunge wapya wa Upinzani bungeni kukomaa sana na hilo tena siku za wmanzoni sana, infact waanze kuliongelea hilo sasa wakiwa nje ya bunge ili watakapoingia bungeni kusiwe na guessing work ya kinachotakiwa na taifa on NEC.

- Sikubaliani na mawazo kwamba hata Mwenyekiti wa CCM hana uwezo, hapana hiyo inakua ni kutoheshimu mawazo ya wananchi 61% ya walipoiga kura za kumchagua na akashinda uchaguzi, bado ninaamini kwamba ana tatizo kubwa sana la wasaidizi wasiona uwezo kama wananchi walivyozungumza kupitia kwenye kura za wabunge na madiwani.

Otherwise, ninakubalaina sana na hoja zako nyingi zenye manufaa kwa masilahi ya taifa letu!


William.
 
Umesema huu ni wakati wa kuelezana ukweli huu ni wakati muafaka hiyo asilimia 61 ni namba za NEC, kimsingi mheshimiwa hakubaliki hao watu mil. 12 sio hawakupiga kura walimkataa. Huitaji Ph.d kufumbua kitendawili hiki; hiki ni kichekesho hakijawahi kutokea.
 



Waslaaam wananchi wote JF,

- Bado tunaendelea kutafakari kilichojiri kwenye huu uchaguzi wa wabunge na Rais, baada ya kuyasikiliza kwa makini sana matokeo:

- Inaonekana kwamba kuna ujumbe mzito sana wa wananchi kwa Rais aliyechaguliwa, kwamba wananchi wana imani naye sana, lakini wana tatizo kubwa sana na watendaji wake, hasa mawaziri na wakuu wa Mikoa/Wilaya. Ni matumaini yangu kwamba amewasikia wananchi na ataufanyia kazi ujumbe wao mzito sana waliomtumia kupitia kwenye kura zao.

- Na ni matumaini yangu makubwa sana kwamba CCM kama chama, kimesikia kilio cha wananchi, kwamba wamechoshwa na viongozi magoi goi katika serikali yao na sasa wanataka mabadiliko!

Ahsanteni.

William.

(Red and Bold)

Unasemaje??
 



waslaaam wananchi wote jf,

- bado tunaendelea kutafakari kilichojiri kwenye huu uchaguzi wa wabunge na rais, baada ya kuyasikiliza kwa makini sana matokeo:

- inaonekana kwamba kuna ujumbe mzito sana wa wananchi kwa rais aliyechaguliwa, kwamba wananchi wana imani naye sana, lakini wana tatizo kubwa sana na watendaji wake, hasa mawaziri na wakuu wa mikoa/wilaya. Ni matumaini yangu kwamba amewasikia wananchi na ataufanyia kazi ujumbe wao mzito sana waliomtumia kupitia kwenye kura zao.

- na ni matumaini yangu makubwa sana kwamba ccm kama chama, kimesikia kilio cha wananchi, kwamba wamechoshwa na viongozi magoi goi katika serikali yao na sasa wanataka mabadiliko!

Ahsanteni.


william.
hatuna imani na jk, ameshinda kwa kuchakachua, matokeo ya kura za geita ni uthibitisho wa mengi yaliyofanika, afya yake haina uhakika,hana maamuzi, hasikilizi ushauri hata kwa wazee wenye kuheshimika na uzoefu, anaendekeza urafiki na ushwaiba. Hawezi kuongoza. Watanzania vijijini wanachagua ccm kwasababu ya mazoea na si uwezo au imani ya kikwete.
Nimewasilisha.
 
- Mkuu heshima sana, kwanza nimekubali kwamba NEC ina matatizo na mengi yake ninaamini yamefanywa kwa kutokujua zaidi kuliko makusudi, kutokuwa na nyenzo za kisasa, elimu ya kutosha kwenda sawa na wakati, pamoja na simply incompetence na ninaikubali hoja ya kuikarabati NEC nje ndani.
W.J.M,
Check bolded sentence and tell us that we should believe your "facts"!
Look at red, Miaka 5 ya kujiandaa plus mbwembwe za kuwa wamejiandaa halafu unakuja kuleta porojo kama hizi? Yaani tume inatuambia mambo yote safi halafu baadaye inatuambia karatasi blah blah!
Are you sure your real name is not Makame or Kiravu?
 
Back
Top Bottom