- Mkulu Pasco, vipi ukiiweka wazi hapa hiyo record ya huyu waziri na vita dhidi ya ufisadi? Wengine hatuifahamu!
Respect.
Field Marshall Es!
Kamanda Mkulu FMES,
Nafikiri unafahamu fika ni kwa nini huyu bwana alitolewa pale Ujenzi, Haya mambo ya chama kuingilia utendaji wa baadhi ya viongozi kwa maoni yangu ni kitu kibaya sana........simply because others they were able to make a KING...............
kwa kifupi JPM njia yake ilikuwa nyeupe kwa sababu baraka zote zilikuwepo.........nafikiri unaelewa vizuri ni kwa jinsi gani MTANDAO walivyomfanyizia huyu jamaa.........anyway ndio mambo ya siasa ndani ya Chama.........
ana bahati mbaya moja vita vyake na mafisadi havikuwa smart kwa sababu alikosa guidance na hasa kwenye sheria..........
Mkuu FMES........unakumbuka
vita vya Bohari kuu.......na
ununuzi wa magari ya serikali......(NOTE: si matumizi)
huko kwenye miradi ya barabara ndio usiseme.....mafisadi walikoma ubishi.....
in short....jamaa anafaa sana kuwa kiongozi wa hii nchi....anahitaji timu nzuri ya wanasheria....jambo ambalo si gumu kulipata.......