Kachanchabuseta
JF-Expert Member
- Mar 8, 2010
- 7,270
- 675
WanaJF tarehe 01/09/2010 Television ya CCM (CCMTV) au kwa kifupi TBC1 muda wa kuanzia saa 3 usiku warusha kipindi maalum "utendaji wa Jeshi letu" kabla ya hapo serikali ilitoa taarifa kuwa tarehe 01/09/2010 ni siku ya mshujaa(kama nimekosea utanikosoa)
Kipindi hicho kulikuwa kinaonesha utendaji wa jeshi letu vifaa wanavyotumia lakini baadaye wajeshi wakiwa wameshikilia mitutu kwenye gwaride walikuwa wanaimba hivi "tuna imani na kikwete".........hawa waliandaliwa mana walikuwa vijana vijana wadogo wa jeshi.....
Mwaka 2005 siku mbili kabla ya uchaguzi ITV warusha kipindi chao wakionesha MAUJI YA RWANDA.
Hii ilileta fikra za woga kwa watanzania mana waliogopa vita
CCM ina TABIA YA KUTUMIA JESHI IKIONA MAMBO HAYAJAKAA SAWA
Mytake:
1. Je ITV watarudia ya mwaka 2005?
2.Kwanini TBC wanarusha mambo ya jeshi katika kipind hiki cha uchaguzi?
3. Ila nawasii ITV na TBC kama wakiendelea na mchezo huu watanzania wamefunguka macho hawadanganyiki tena
Kipindi hicho kulikuwa kinaonesha utendaji wa jeshi letu vifaa wanavyotumia lakini baadaye wajeshi wakiwa wameshikilia mitutu kwenye gwaride walikuwa wanaimba hivi "tuna imani na kikwete".........hawa waliandaliwa mana walikuwa vijana vijana wadogo wa jeshi.....
Mwaka 2005 siku mbili kabla ya uchaguzi ITV warusha kipindi chao wakionesha MAUJI YA RWANDA.
Hii ilileta fikra za woga kwa watanzania mana waliogopa vita
CCM ina TABIA YA KUTUMIA JESHI IKIONA MAMBO HAYAJAKAA SAWA
Mytake:
1. Je ITV watarudia ya mwaka 2005?
2.Kwanini TBC wanarusha mambo ya jeshi katika kipind hiki cha uchaguzi?
3. Ila nawasii ITV na TBC kama wakiendelea na mchezo huu watanzania wamefunguka macho hawadanganyiki tena