Consultant
JF-Expert Member
- Jun 15, 2008
- 11,401
- 20,661
- Pamoja na CCM kushinda, bado historia inatakiwa kuwaandika Wapinzani na hasa Chadema kuwa ndio hasa washindi wa uchaguzi wa mwaka 2010.......
William.....una maana gani kusema ''pamoja na CCM kushinda''?
Mwenzetu labda una matokeo YOOOOOOTE ya uRAIS na uBUNGE. Tuwekee hapa mkuu. Sharing is caring!