Mpelijr
Member
- May 17, 2010
- 89
- 11
Nimekuwa nikifikiria jinsi mambo yanavyobadilika tukifika kwenye mwaka wa uchaguzi na hasa nikafikiria je ni kweli kwamba asilimia kubwa ya watanzania wanafaidika na kampeni au ndo wanaandaliwa kwa ajili ya maumivu ya baadae?
Viongozi wamekuwa wakiwanyenyekea mno wananchi hichi kipindi kwa ajili ya kujitengenezea ulaji miaka mitano hii inakuwaje kwa wananchi?wanaandaliwa nini kama baada ya uchaguzi hawasikilizwi kwa maoni wala shida wakati ni jukumu la huyo mtu waliyemchagua?
Tanzania tuna kazi ku overcome selfishness katika serikali....
Viongozi wamekuwa wakiwanyenyekea mno wananchi hichi kipindi kwa ajili ya kujitengenezea ulaji miaka mitano hii inakuwaje kwa wananchi?wanaandaliwa nini kama baada ya uchaguzi hawasikilizwi kwa maoni wala shida wakati ni jukumu la huyo mtu waliyemchagua?
Tanzania tuna kazi ku overcome selfishness katika serikali....