Uchaguz wa diwan Momba Mbeya

Nchullah.

Member
Oct 12, 2012
8
2
uchaguzi wa diwan wilayan momba watia fora askari apigwa jiwe na wanachadema pia mwana ccm apigwa jiwe alazwa kamsamba n baada ya wana ccm kupita maeneo ya karibu na kampen za chadema mida ya saa 12 jion
 

Attachments

  • Photo-0054.jpg
    Photo-0054.jpg
    75.2 KB · Views: 175
  • Photo-0053.jpg
    Photo-0053.jpg
    77.6 KB · Views: 156
  • Photo-0037.jpg
    Photo-0037.jpg
    82.2 KB · Views: 115
...ama kweli hali sasa si shawali tena,wananchi baada ya kuanza kujua jinsi wanavyofanyiwa dhuluma wameamka na wamekuwa na hasira sana na sasa inaonyesha hawataki longolongo "wanavunja nazi kwa ugoko"...
 
Nasikitika kumfananisha huyu prezidenti kwa kulitumia jina lake linalofanana na jina la baiskeli ya mbao kwa kisambaa (kikwata)
 
kwa siasa hizi za kisasi ni hatari .walioziasisi watavuna walichopanda
 
Back
Top Bottom