uchaguzi wa diwan wilayan momba watia fora askari apigwa jiwe na wanachadema pia mwana ccm apigwa jiwe alazwa kamsamba n baada ya wana ccm kupita maeneo ya karibu na kampen za chadema mida ya saa 12 jion
...ama kweli hali sasa si shawali tena,wananchi baada ya kuanza kujua jinsi wanavyofanyiwa dhuluma wameamka na wamekuwa na hasira sana na sasa inaonyesha hawataki longolongo "wanavunja nazi kwa ugoko"...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.