Nyami2010
JF-Expert Member
- Dec 2, 2009
- 227
- 50
Ndg wana JF
Kwa nini miaka yote, miji yetu ni michafu kiasi hiki? Kipindupindu....imagine!
Leo asubuhi, Radio One wametangaza hali ya uchafu katika Jiji la Arusha nimeogopa. Dar, Moro, Tanga, n.k usiseme!
Hivi, uchafu ni tabia au ni kushindwa kwa wahusika kuchukua hatua?
Nini kifanyike?
Kwa nini miaka yote, miji yetu ni michafu kiasi hiki? Kipindupindu....imagine!
Leo asubuhi, Radio One wametangaza hali ya uchafu katika Jiji la Arusha nimeogopa. Dar, Moro, Tanga, n.k usiseme!
Hivi, uchafu ni tabia au ni kushindwa kwa wahusika kuchukua hatua?
Nini kifanyike?