Wadau nimeistall ubuntu 11.04 alongside windows 7, yaani siafanya patrition nimeinstall ubuntu ndani ya windows..imekubali na inaboot fresh nikiichagua wakati wa boot
naomba nisaidiwe namna ya kuinstall modem yangu ya sasatel ili niwe connected
NB
Nimearibu kuangalia ubuntu itakuwa insatalled wapi sijaiona kabisa, wakati ilisomeka ininstall c
naomba nisaidiwe namna ya kuinstall modem yangu ya sasatel ili niwe connected
NB
Nimearibu kuangalia ubuntu itakuwa insatalled wapi sijaiona kabisa, wakati ilisomeka ininstall c