Ubuntu

Paul S.S

JF-Expert Member
Aug 27, 2009
6,402
3,242
Wadau nimeistall ubuntu 11.04 alongside windows 7, yaani siafanya patrition nimeinstall ubuntu ndani ya windows..imekubali na inaboot fresh nikiichagua wakati wa boot
naomba nisaidiwe namna ya kuinstall modem yangu ya sasatel ili niwe connected

NB
Nimearibu kuangalia ubuntu itakuwa insatalled wapi sijaiona kabisa, wakati ilisomeka ininstall c
 
Wadau nimeistall ubuntu 11.04 alongside windows 7, yaani siafanya patrition nimeinstall ubuntu ndani ya windows..imekubali na inaboot fresh nikiichagua wakati wa boot
naomba nisaidiwe namna ya kuinstall modem yangu ya sasatel ili niwe connected

NB
Nimearibu kuangalia ubuntu itakuwa insatalled wapi sijaiona kabisa, wakati ilisomeka ininstall c

Mkuu nadhani unatakiwa ku google jisni ya uinstall driver za modem kwenye ubuntu. lakini itakuw rahisi ukijuia hiyo modem ya sasa tel ni model au brand gani. Maana hapo unaposema modem ya sasatel ni sawa kuulizia tairi ya toyota.

Alfu tatizo lingine unaweza kuumbana nalo kwa kuwa hiyo Ubuntu ni latest inaweza kuwa kazi kidogo kupata drives zote. lakini kama uko hungry kujifunza usitooe komaaa nayo hivyo hivyo. Ukifanya via the hard way utajua mengi

Iweke kwenye book mark hii link Ubuntu Forums itakupa guide ya kutatua matatizo mengi. Othewrise taja model ya hiyo modem ya sasa tel tutafute malekezo yake sahihi

Dont be suprised kama utahitajika kuinstall kwa command na sio kwa ku clik next next kama kwenye windows. Just drop hiyo model ya modem
 
Wadau nimeistall ubuntu 11.04 alongside windows 7, yaani siafanya patrition nimeinstall ubuntu ndani ya windows..imekubali na inaboot fresh nikiichagua wakati wa boot
naomba nisaidiwe namna ya kuinstall modem yangu ya sasatel ili niwe connected

NB
Nimearibu kuangalia ubuntu itakuwa insatalled wapi sijaiona kabisa, wakati ilisomeka ininstall c
Yeah mkuu ninamatumaini ni njia rahisi 2 kama unataka i function coz nakumbuka fresh nilishawah set up modem ya vodafone and zantel fasta 2 bila shida and no need of software kwanza cha maana kujua ni dialing number like *99# sasa ya sasatel ni ipi and also user name kama ni lazima kuweka then ukishayajua haya hakikisha imekuwa detected coz mara ya kwanza inasumbua kdogo so jaribu kuchomoa na kuchomeka mpaka finally utaona imekuwa detected na inaonekana kwny my computer then angalia kulia juu kwny taskbar kuna icon ya network right click na utaona kuna a new connection lakini needed kuwa configured ifungue iyo kitu then chagua iyo modem itakuwa imelistiwa apo kama imekuwa detected then next apo utachagua Tanzania but pia utaona iyo service provide SASATEL aipo it doesnt matter just iandike kuna option ya kuandika apo then next apo utajaza re queried fileds kama iyo dialing number na pia sasa apa lazima uweka user name and password kama sasatel haina then andika yoyote lakini lazima ijazwe then save and ok..... sasa uki click apo kwny network icon utaona iyo SASATEL uliotegeneza na chini yake kuna option ya kuconnect and connect itachugua sekunda kadha and itakuwa connected... ANGALIZO inaweza ikawa tofauti na maelezo yangu lakini kama nime elezea kadri ninavyo kumbuka and pia sikutest za SASATEL but zantel na vodafone ilikubal hii jia na hii ndo jia simple ya kukonnect kwa sasa mpaka badae labda ukipata software nzuri zaidi ya kukonnect kwa kama feauters za kucall na kurecharge... ni hayo 2 i was just trying to HELP.... HOPE IT WORKS
 
ni rahisi tu taja model number and everything will be like charm!!!

tunakusubili wewe sasa usituangushe tatizo lako ni tatizo la JF nzima

so tupe hilo tatizo. fahamu kuwa modem nying zakubali ubuntu!!

dont make us wait for long mkuu
 
Go to edit connections, then mobile broadband click on add connections or just add,and a dialogue box will appear,click forward and select Tanzania then forward again and select sasatel,then click forward again and apply.Now plug-in your modem go to connections and click sasatel default,and start enjoying.
 
Wakuu thanx a lot kwa michango yenu kuhakikisha natatua tatizo hili.
Kwa bahati mbaya lapy yangu imecrash toka siku nimepost hivyo nasubiri nitulie nitafute cd ya win 7 niiweke sawa then i will be back for feed back.
Thanx again tupo pamoja
 
Pole sana kamanda . Ukiona unachokonoa pc/ laptop inaaanza ku crash jua ndo unalekea kuwa mtaalam hivyo.

Good luck
 
Go to edit connections, then mobile broadband click on add connections or just add,and a dialogue box will appear,click forward and select Tanzania then forward again and select sasatel,then click forward again and apply.Now plug-in your modem go to connections and click sasatel default,and start enjoying.

Wadau mini ninatumia ubuntu 9.10 nimefuata hizo procedures ila sehemu ya nchi TANZANIA haipo kwenye list na mimi ntumia ttcl. Please advise. Thanks
 
Naam wadau nimeirudisha Ubuntu 11.04 na sasa inapiga mzigo fresh kabisa na ina connect uzuri kabisa na modem ya Vodafone K3570-Z.
Modem hii kwa Windows 7 kuibadilishia dash board kwa mitandao mingine ipo powa lakini kwa Ubuntu naona giza, maana nikiweka sim card ya Tigo au Airtel inagoma, is that means hakuna machakachuzi kwa ubuntu?.
 
Wakuu wajuvi wa linux mpo wapi?
Nimejaribu ku google bila mafanikio, nawezaje kuona na ku access mafaili ya ubuntu kwenye windows 7? kuna mp3 nimedownlod nataka kuplay ktk windows..
Nikiwa kwenye ubuntu mafaili ya windows nayapata bila shida
 
Paul,
by default Linux hutumia partition format tofauti na windows. Kwa hiyo huwezi ku access Linux part. Ktk windoze. njia rahisi ni kuwa na partition tatu. Moja for windows system, ya pili Linux ya tatu kwa ajili ya data storage. Sasa hiyo ya data inakuwa formatted ktk NTFS ambayo both Linux na Windoze zinaweza ku access na data zinakuwa centralized
kama bado unataka ibaki ilivyo kuna kitu inaitwa extfs explorer lakini ina soma tu ukitaka kulitumia faili inabidi ulinakili ktk partition nyingine
 
Wadau mini ninatumia ubuntu 9.10 nimefuata hizo procedures ila sehemu ya nchi TANZANIA haipo kwenye list na mimi ntumia ttcl. Please advise. Thanks
Connect kwenye internet ya uhakika au data card iliyo na at least 2GB then alt+F2 kikija kile kibox andika
sudo update-manager upgrade -d
baada ya ku upgrade fuata procedure hapo juu
 
BTW Ubuntu 8.04 LTS na 9.10 are no longer sipported by Cannonical
 
Paul,
by default Linux hutumia partition format tofauti na windows. Kwa hiyo huwezi ku access Linux part. Ktk windoze. njia rahisi ni kuwa na partition tatu. Moja for windows system, ya pili Linux ya tatu kwa ajili ya data storage. Sasa hiyo ya data inakuwa formatted ktk NTFS ambayo both Linux na Windoze zinaweza ku access na data zinakuwa centralized
kama bado unataka ibaki ilivyo kuna kitu inaitwa extfs explorer lakini ina soma tu ukitaka kulitumia faili inabidi ulinakili ktk partition nyingine
Mkuu shukrani nimetumia Extfs Explorer na nimefanikiwa.
Huo utundu mwingine wa kuweka patrition 3 ngoja kwanza nizoe zoe kidogo.
vipi kuhusu modem haina ujanja?
 
Go to edit connections, then mobile broadband click on add connections or just add,and a dialogue box will appear,click forward and select Tanzania then forward again and select sasatel,then click forward again and apply.Now plug-in your modem go to connections and click sasatel default,and start enjoying.
yap, haya ndiyo maelekezo sahihi anayopaswa kupewa!
 
Mkuu nadhani unatakiwa ku google jisni ya uinstall driver za modem kwenye ubuntu. lakini itakuw rahisi ukijuia hiyo modem ya sasa tel ni model au brand gani. Maana hapo unaposema modem ya sasatel ni sawa kuulizia tairi ya toyota.

Alfu tatizo lingine unaweza kuumbana nalo kwa kuwa hiyo Ubuntu ni latest inaweza kuwa kazi kidogo kupata drives zote. lakini kama uko hungry kujifunza usitooe komaaa nayo hivyo hivyo. Ukifanya via the hard way utajua mengi

Iweke kwenye book mark hii link Ubuntu Forums itakupa guide ya kutatua matatizo mengi. Othewrise taja model ya hiyo modem ya sasa tel tutafute malekezo yake sahihi

Dont be suprised kama utahitajika kuinstall kwa command na sio kwa ku clik next next kama kwenye windows. Just drop hiyo model ya modem
wacha kupotosha wewe! nani alikwambia ubuntu 10.10 and above zinahitaji u-install drivers kwaajili ya modems? mambo mengine kama haufahamu jaribu kukaa kimya tu kijana!!
 
ni rahisi tu taja model number and everything will be like charm!!!

tunakusubili wewe sasa usituangushe tatizo lako ni tatizo la JF nzima

so tupe hilo tatizo. fahamu kuwa modem nying zakubali ubuntu!!

dont make us wait for long mkuu
hivi ninyi mkoje? we sharobalo umeisha wahi kutumia ubuntu 10.10 na 11.04?
 
Jimbi please lugha zako za kukatisha tamaa hatuzitaki huku! Kama mtu kakosea si useme kwa utaratibu?
Jifunze lugha za jukwaa husika ili usichanganye mambo!
 
wacha kupotosha wewe! nani alikwambia ubuntu 10.10 and above zinahitaji u-install drivers kwaajili ya modems? mambo mengine kama haufahamu jaribu kukaa kimya tu kijana!!

Ohhh soory mtaaalam unajua tena mwaga shule zaidi tuelimike . wengine tunakubali kujifunza kutokana na makosa .

  • Kumbe ubuntu haiiitaji drivers kwa jili ya modem? Sasa Ubuntu inatofautishaje kati ya USB stoarge disk na USB modem?
  • Ina maana Ubuntu 10.10 inakuja packed na drivers zote za modem no matter brand na model utayotumia au ni kwamba Ubuntu 10.04 haitumii modem drivers kabisa? Au kuna Universal modem drivers ndani ya Ubuntu?

Je mtaaalam aliyetoa haya maelezo naye kakosea au nayo hii sio prcess ya kuinstall drivers
http://ubuntuforums.org/showthread.php?t=1652668

Happy to learn from your experince ndio maana tunakuja hapa. Mkuu
 
knowledge os heightless mointain, no one is always at the peak!
 
Back
Top Bottom