sijui tutaweza kuendesha hapo. Palivyo Mhuuuuuuuuuu...........View attachment 11894
Wakati wasanifu wapo mbioni ku design flyovers za Bongo, mnaonaje mkateremsha kitu namna hii pale Ubungo na kule Tazara?
**Mafisadi hebu jinyimeni mwaka mmoja tu kipatikane kitu namna hii!
sijui tutaweza kuendesha hapo. Palivyo Mhuuuuuuuuuu...........
Yangu macho na ahadi za uyu mkwele
...Na nasikia kuna mahali aliahidi pia kupeleka komputa kwenye shule za msingi....si usanii huu???!!:violin::violin:Yangu macho na ahadi za uyu mkwele