KadaMpinzani
JF-Expert Member
- Jan 31, 2007
- 3,715
- 86
mara moja moja jaribu kutumia akili kidogo na kuelewa hoja na kuchangia si kuwaza maajabu kila mara .Kwa nini aende Shinyanga na wakati yeye ni wa Ubungo na anatetea mambo ya Ubungo ?
Akili zingine bwana .Kumwita dogo hakuwezi kupunguza makali ya hoja zake .
sawa dogo !