Game Theory
Platinum Member
- Sep 5, 2006
- 8,545
- 835
Nimeshindwa kumaliza kuhesabu wako wangapi lakini mimi naona wanamaliza pesa za walipa kodi
wabunge wanaotakiwa kuwepo bungeni wawe watu waliochaguliwa na wanancho na sio watu wanaokwenda mle kwa sababu walemavu au wanawake au wake za watu
sijapioga mahesabu kila mbunge maalum anatucost how much lakini nadhani they are not fit for purpose
je nyinyi mnaonaje?
wabunge wanaotakiwa kuwepo bungeni wawe watu waliochaguliwa na wanancho na sio watu wanaokwenda mle kwa sababu walemavu au wanawake au wake za watu
sijapioga mahesabu kila mbunge maalum anatucost how much lakini nadhani they are not fit for purpose
je nyinyi mnaonaje?