Mkuu Keil,Mkuu Mtanzania,
Mimi nina multiple-citizenship ya Rungwe, Kyela na Sikonge. Kwa hiyo zikija siasa za Rungwe Mashariki na Magharibi nitachangia, zikija za Kyela nitachangia na zikija za Sikonge pia nitachangia. Michango yangu ni ya ku-identify weaknesses ili mhusika aweze kuzifanyia kazi kwa ajili ya maendeleo ya jimbo lake na wananchi waliomchagua.
Naona wewe umemzidi hata Sikonge maana nina uhakika ya Rungwe Magaharibi na Mashariki atakuwa hayajui. Yeye ni Kyela na Sikonge tu.
Sikonge mna watu wengi wazuri, watumieni kusukuma gurudumu mbele. Msije mkageuka Kyela ambako siasa za jino kwa jino zinatawala.
Kama una ushauri kuhusu Kyela basi nitumie PM.