Tumsifu Samwel
JF-Expert Member
- Jul 30, 2007
- 1,407
- 159
Mmoja ya wagombea ubunge kwenye jimbo la sikonge ni balozi David Kapya ambaye alikuwa anafanya kazi kwenye shirika la UNHCR na sasa yupo Office ya rais mstaafu Benjamin W. Mkapa.
View attachment 10705
Kesho ndio anaanza ziara ya kutembela jimbo la Sikonge na kukutana na wazee na wapambe wake..
Itakuwa siyo vibaya tukajadili jimbo ili na sifa za wagombea ubunge kwenye hili jimbo..
View attachment 10705
Kesho ndio anaanza ziara ya kutembela jimbo la Sikonge na kukutana na wazee na wapambe wake..
Itakuwa siyo vibaya tukajadili jimbo ili na sifa za wagombea ubunge kwenye hili jimbo..