Hizo harakati na viapo vy kumng'oa Ndesa vimekuwepo siku zote lakini haijawezekana. Mimi nafikiri wafike mahali wanaompinga wakiri kwamba mzee huyu anajua kile ambacho wapiga kura wake wanakihitaji na ndiyo maana yuko mioyoni mwao. Kama aliweza kuhimili kimbunga cha kampeni za mwaka 2005, siamini kama kuna kikubwa cha kumtisha safari hii! lakini tusubiri tuone!