Kuna Chrispher Mushi fulani mtu wa Machame alisoma Ilboru, kama ni huyu, basi Mbowe ana kibarua kigumu mbele yake, Jamaas hawa ndio wenye Meru Farmacy za AR na MS. Ni debeter mzuri sana na alifanya kazi UNDP.
Sasa kama hawezi kusimamia hata hela ambazo zinatoka mfukoni mwake,je atakuwa na uchungu na hela za serikali kweli?
Hilo nalo ni tatizo ila jamaa nguvu yake kubwa inatoka kwa Mwenyekiti wa mkoa wa Kilimanjaro Vicki Nsilo Swai
View attachment 9848
Mama Vicki Nsilo Swai (ktk)
Huyu Mama ana nguvu sana kwa mkoa wa Kilimanjaro na yeye ndiye anasuka mpago wa kumngoa Mzee Ndesamburo jimbo la Moshi mjini.N hivi karibuni wataitisha harambee maalumu ya kuchangia CCM ili kumngoa Mzee Ndesa.
Wanapoteza muda tu! Mzee Ndesa yuko vizuri
Mnadhani Mzee Ndesa ataweza kurudi Bungeni tena? hiyo ni ndoto,Mhe rais aliuwaliza i"Iakuwaje huyu mtu ashikilie Sehemu ambayo ni kitovu cha mapato cha Mkoa kwa kipindi chote hicho? Nataka mwaka huu hilo jimbo lirudi CCM mwaka huu". hapo kila mbinu mwaka huu lazima ifanyike ili kulikomboa hilo jimbo.
Kabisa. Pamoja na pesa zao,sisiemu wamemshindwa huyu mzee!
Mnadhani Mzee Ndesa ataweza kurudi Bungeni tena? hiyo ni ndoto,Mhe rais aliuwaliza i"Iakuwaje huyu mtu ashikilie Sehemu ambayo ni kitovu cha mapato cha Mkoa kwa kipindi chote hicho? Nataka mwaka huu hilo jimbo lirudi CCM mwaka huu". hapo kila mbinu mwaka huu lazima ifanyike ili kulikomboa hilo jimbo.