Ubunge Iramba Magharibi

Naona mheshimiwa mwigulu siasa anazihamishia makanisana leo yupo mlandizi kwenye uzinduzi wa kanda
 
''Iramba Nkuru kuliko Tanzania'', matatizo yetu kule ni mtaji tosha, haitaji sijui mtaji wa kura 20,000. Mtatizo kila kona....watu wamejituma kulima alizeti bila masoko..masoko yao ni barabarani.Barabara mbovu hakuna mfano, magulio yamekuwa hayana tija kwa maskini, mazao hayana bei na watoto wana shindwa kwenda shule.Maji ndo tatizo kubwa zaidi, siyo ya binadamu wala mifugo......Shida ya Iramba ni elimu ya uraia.Dada'angu aliwahi kuniambia kuwa Mbowe 2005 alitoa ahadi nyingi pale shelui na watu walijaa lakini mpaka sasa hajatimiza hata ahadi moja

kwani Mbowe ni rais?
 
Mwigulu ukituhakikishia kuwa umekoma kufanya ule uhuni wako wa kupora wake za wenzako, kununua shahada, kuiba kura, kugawa pesa kwa kuwahadaa wanyonge, na kuwalamba miguu matajiri utapata kuungwa mkono kataka harakati zako za kuwaletea maendeleo wananchi wako.
Just say something brother
Hili tusiandikie mate tuombe uhai tu. Mimi similiki jimbo na kura nilizopewa ilikuwa 2010 - 2015. Wanyiramba wakiona kuna haja ya kuniongezea mkataba watanipa mkataba huo wakiona wanamwingine watampa. Kwa sasa nafanya niliyoahidi binafsi kadri ya uwezo, nafuatilia ahadi za serikali na pia kuwakilisha. Habari ya mteremko au ugumu wenye mamlaka ni wenye kura nao hawajabinafisishwa. Natamani kwa sasa mjadala ungekuwa mpango upi unamanufaa na wapi pamepungua nini na nini kiboreshwe haraka kwa manufaa ya Iramba. Lengo na liwe maendeleo sio kugawana vyeo lazima unapofanya sub uwanjan ujue anacheza amepwaya nini na sio kwa anayeingia akatoke jasho. Bibilia inasema wapumbavu ndio wasemao kesho nitafanya hili ama lile.....nani anamkataba na mungu kwamba atakuwa hai. Hivi ukibaki na nia yako kwa sasa ukanipa mawazo nisaidie jimbo ukajitokeza hata 2014 hautakuwa umesaodia zaidi wanairamba kupata faida. Nukwenda ugenda ukuleta imilamu. Anayedhani jimbo liko wazi na ajiandae wanairamba watasema nani yuko sahihi.
 
Hivi kuna Sharcole wangapi?
Mods wameruhusu vipi id mbili zinazofanana?
Au Shardcole ni mwendawazimu?
Maana kuna thread amepost kama mtu aliye katika mrengo wa kati.
Sasa nyie juzi juzi tu hapo mlikuwa mkiliponda lile jama bishi lenye chale uso mzima( nyepesi kabwela) eti uongozi hautafutwi sasa mbona na nyie wezi wa fedha za sabodo leo hii mnaanza kutangaza nia za ubunge!
Enewei mi nitagombea nyamagana kwa Wenje kwani kijana kashindwa kazi kabisa na juzi katuchangisha fedha nyingi akidai za madawati kumbe ni aliagizwa na Mbowe achangishe kwa ajili ya kukarabati club-bilcanus pamoja na kumlipa yahya wa junior vile vile hiyo pesa itatumika kununua gunia za bangi ambazo huwa anavuta lema kwa ajili ya M4C.
Mpaka kieleweke peoples...................
 
Tunajua ulishinda kura ya maoni kwa nguvu ya pesa za Lowassa.
Nia ya Lowassa kuwaangusha wasiomuunga mkono ilijulikana mapema, na wewe ulikuwa kipenzi cha Lowassa, ambapo kwa Iramba alihakikisha Kilimba na Mgana hawarudi mjengoni, kwa Mtera akahakikisha Mwendawazimu anamwangusha Tingatinga, na Rorya anapita Lameck, na kule Njombe anapita Rasta.
Sasa huyo Mungu wenu mwenye nywele nyeupe tayari keshakosa nguvu mbele ya Mungu wa Kweli, tegemeeni anguko kuu linalokuja 2015
Sina hata chembe ya mashaka. Yule aliyesema nilikuwa nagawa pesa makanisani hilo sio kweli na lilikanushwa muda huo na vyombo husika. Mimi nilikwenfa kusali tu. Kuhusu usalama wa jimbo take it from me HATA KAMA CCM ITAPATA JIMBO MOJA TU 2015 BASI ITAKUWA IRAMBA MAGHARIBI
 
Biggggggggggg upppppppppppppppppppp Man! U think in very +ve way. Take challenges b4 challenged, that is fighting. They must know and recognize the movement of u people.
 
Sasa nyie juzi juzi tu hapo mlikuwa mkiliponda lile jama bishi lenye chale uso mzima( nyepesi kabwela) eti uongozi hautafutwi sasa mbona na nyie wezi wa fedha za sabodo leo hii mnaanza kutangaza nia za ubunge!
Enewei mi nitagombea nyamagana kwa Wenje kwani kijana kashindwa kazi kabisa na juzi katuchangisha fedha nyingi akidai za madawati kumbe ni aliagizwa na Mbowe achangishe kwa ajili ya kukarabati club-bilcanus pamoja na kumlipa yahya wa junior vile vile hiyo pesa itatumika kununua gunia za bangi ambazo huwa anavuta lema kwa ajili ya M4C.
Mpaka kieleweke peoples...................

Ukapimwe akili. Jitahidi uwahi pale milembe dodoma.
 
Hata wenye mbwa nilishawatoa ulimi nje atasumbua mbwa. Siasa za jimbo nitakuja kufanya kampen siku tatu tu hata aje slaa tugombee wote iramba. Hivi vya humu ambavyo hata ID vinashindwa kutoa hata kivuli changu skafu yangu itashinda nikiiweka ipigiwe kura. Ni kama vile 2010 hakukuwa na mgombea wa chadema hamjamuuliza?
Mmemsikia huyu mzinzi kuwaita wenzie mbwa, 2010 hakukuwa hata na upinzani mzito lakini ulitawanya rushwa kama unaharisha, makanisani ndo usiseme. Uliomtoa Iramba sio kipimo cha kweli kwani alikuwa boya kama wewe tu.mtaji wako sio kusimamia haki kama kina Tundu Lisu bali ni elimu ya uraia wanayokosa ndugu zangu...lakini hakika round hii ukipenya tutakuacha milele kama Mgabe
 
Mmemsikia huyu mzinzi kuwaita wenzie mbwa, 2010 hakukuwa hata na upinzani mzito lakini ulitawanya rushwa kama unaharisha, makanisani ndo usiseme. Uliomtoa Iramba sio kipimo cha kweli kwani alikuwa boya kama wewe tu.mtaji wako sio kusimamia haki kama kina Tundu Lisu bali ni elimu ya uraia wanayokosa ndugu zangu...lakini hakika round hii ukipenya tutakuacha milele kama Mgabe

mkuu.heshima mbele.huyu mtu anajigamba aliwatoa ulimi wenye mbwa.je mbwa.nasisitiza huyu mwigulu kavimbiwa madaraka.sisi tutakuja kama kolabo la umbwa mwitu.si anasema alitoa ulimi wenye mbwa.basi kutana na jeshi la makamanda watakaokuwa wanakushambulia toka mwanduigembe hadi mkonze alikodanganya.safar hii hatukutoi kwa nguv ya uma kwa sababu ya midevu yake.la.bali ameshindwa kutimiza ahadi alizotumwa na mungu wake mzee mamvi.viva cdm.
 
mwigulu utamshinda kamanda,si unajua ile tabia yake alofanya igunga,waeleze wananchi
 
Sasa nyie juzi juzi tu hapo mlikuwa mkiliponda lile jama bishi lenye chale uso mzima( nyepesi kabwela) eti uongozi hautafutwi sasa mbona na nyie wezi wa fedha za sabodo leo hii mnaanza kutangaza nia za ubunge!
Enewei mi nitagombea nyamagana kwa Wenje kwani kijana kashindwa kazi kabisa na juzi katuchangisha fedha nyingi akidai za madawati kumbe ni aliagizwa na Mbowe achangishe kwa ajili ya kukarabati club-bilcanus pamoja na kumlipa yahya wa junior vile vile hiyo pesa itatumika kununua gunia za bangi ambazo huwa anavuta lema kwa ajili ya M4C.
Mpaka kieleweke peoples...................

Mkuu wewe yaelekea kuna nati zimekatika kichwani kwako. Jaribu kumwona daktari haraka, kwa namna hii hata magamba hawatakutaka. kumbe Lusinde mko wengi.!
 
Mkuu wewe yaelekea kuna nati zimekatika kichwani kwako. Jaribu kumwona daktari haraka, kwa namna hii hata magamba hawatakutaka. kumbe Lusinde mko wengi.!

jamani sio mimi real shardcole nilopost huo ujinga bali nahisi kunamwendawazimu mmoja alipost pasipo hizni yangu kwa kutumia username yangu bkoz nilisahau kulog-out.
Samahani san mkuu kwa niaba ya huyu gamba aliyetumia my username.
 
Mwigulu ang'oke, ni mtoa rushwa, na abishe tumsikie, Nimepata taarifa za kuaminika kuwa, kwenye kura za maoni alitumia wanakijiji woote kijini kwake kumpigia kanakwamba ni wanaccm, alishapigwa doro na juma kilimba. Ni wa kuogopwa kuliko ukoma.
 
Hata wenye mbwa nilishawatoa ulimi nje atasumbua mbwa. Siasa za jimbo nitakuja kufanya kampen siku tatu tu hata aje slaa tugombee wote iramba. Hivi vya humu ambavyo hata ID vinashindwa kutoa hata kivuli changu skafu yangu itashinda nikiiweka ipigiwe kura. Ni kama vile 2010 hakukuwa na mgombea wa chadema hamjamuuliza?

Mwigulu,
Hata Nyamagana hapakuwa na mgombea wa CDM 2005. Kilichotokea unakijua. Jiandae tu kupumzika kwa amani. Dk Kitila Mkumbo anakuja kulikomboa jimbo! Lakini utakuwa umeweka historia nzuri for being One Term MP!
 
Shardcole sasa nimejua rangi yako. Angalia usije ukajiBingo wa Muthalika.

dada jane sio mimi nilopost huo uwendawazimu bali kuna agent wa shetani mmoja(gamba) katumia my username kupost uchafu huo pasipo hizn yangu bkoz nilisahau kulog-out.
Mimi sio gamba
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom