Nawaza hali itakavokuwa kwa jimbo la Arumeru Mashariki wakati wa uchaguzi baada ya kuondokewa na Mheshimiwa Sumari. CCM watataka wajitahidi kwa nguvu zai zote kuliko ilivokuwa Igunga ili kulinda heshima yao. CDM nao watataka wahakikishe kuwa wanalichukua ili kuimarisaha ukanda wa kaskazini tokea Mbulu, Karatu, Arusha mjini, Hai, Moshi Mjini na Rombo. rangi za kijani na magwanda kazi kwenu.
Tuwe na SUBIRA, watu bado wanaomboleza.