Ubunge Arumeru Mashariki utakuwa mgumu sana

images
 
Km unachokisema ni kweli marehemu hakupiga kampeni basi kuna haja ya chama kikalitizama swala hili kwa macho mawili.

CDM hawakusimamisha mgombea Ingunga 2010. Lakini mambo yalikuwaje kwenye uchaguzi mdogo?? Bila uchakachuaji CCM wasingefanikiwa. Kwa ujumla hizi chaguzi ndongo zinaimaliza sana CCM!!
 
Ingawa huyu dogo simjui vema lakini ni vigumu kumsuta sasa hivi. Hawa wau wa ccm ni wezi na wabababe inawezekana kabisa waliiba kura kama wlivyofanya kwenye majimbo mengine. Pia hiyu Sumari alitumia saana msuri wa fedha kuraghai na kuhonga wapiga kurana kumbuka kipindi hicho alikuwa waziri mdg wa fedha. Tusimkatishe tamaa wacha apambane nina imani this time atashinda
 
Ndugu wana jf
Joshua Nasary ndie aliyepeperusha bendera ya chama chetu mwa 2010 kwa nafasi ya ubunge ktk jimbo hilo na mwishoni hakufanikiwa kushinda.
Marehemu Jeremia sumari alikuwa mgonjwa kipindi chote cha kampeni na hakuhutubia mkutano hata mmoja bali wana-ccm wenzake ndio waliompigia kampeni na kuibuka mshindi.
Mimi binafsi nina mashaka na uwezo wa huyo kijana wetu juu ya kuweza kulichukua jimbo hili wakati wa uchaguzi mdogo, Km ktk kipindi cha kampeni alikuwa peke yake ila ameshndwa, je atawezaje kushinda ktk kipindi ambacho ccm nao watakuwa na mgombea ambae atajipigia kampeni?
Chadema km chama kinatakiwa kusimamisha mgombea ambae tuna asilimia nyingi za kushinda na sio kuridhishana eti kwa kuwa yy aligombea 2010 basi na sasa awe huyo huyo.

Hoja yako ni nzuri,kwani inatupa nafasi ya kujadili suala muhimu.wasiwasi ni kwamba kama mgombea hakufanya kampeni na alishinda. Basi hiyo ilikuwa chakacxhua ya magamba system
 
ARUSHA

WILAYA YA MERU
ARUMERU MASHARIKI
Candidate

Political Party

Number of Votes

Percentage Votes
SUMARI JEREMIAH SOLOMON

CCM
34,661
62.23
JOSHUA SAMWEL NASARI

CHADEMA
19,123
34.33
JOHN YESAYA PALLANGYO

CUF
265
0.48
LINDA PENIELI BANA

JAHAZI ASILIA
176
0.32
FANUEL GABRIEL PALLANGYO

TLP
88
0.16
CHARLES MOSES MSUYA

UPDP
88
0.16
SPOILT VOTES
1,297
2.33
TOTALS
55,698
100

Tofauti ya kura ni 15, 438. Mimi nakubali kuwa ccm watakuwa walichakachua lkn hyo haitoshi coz hawajachakachua jimboni kwake tu, tazama watu km wenje, kiwia, nyerere, mnyika,mdee pamoja na hila za ccm ila walishinda. pia hata ukitizama watu ambao hawakushinda ktk majimbo yao na wagombea wa ccm walikuwepo ila walitoa ushindani mkubwa na walizidiwa kidogo mfano mchange wa kibaha, marehemu regia, shelembi wa shy, khalfan wa kigoma, mpendazoe na wengine wengi tu.

Tatizo langu kwa kijana wetu huyu ni kwamba kwanza hakuwa na mpinzani ila akapata kura chache sana je km angekuwa na mpinzani ungetegemea apate ngapi? hapa wanachadema tunatakiwa kufanya analysis vzr kwa manufaa ya chama na sio kufurahishina binafsi
 
Hoja yako ni nzuri,kwani inatupa nafasi ya kujadili suala muhimu.wasiwasi ni kwamba kama mgombea hakufanya kampeni na alishinda. Basi hiyo ilikuwa chakacxhua ya magamba system

Uchakachuzi ilikuwa majimbo yote sio lake tu na hukohuko aidha cdm ilitoa upinzani mkali au ilishinda e.g regia ailizidiwa kura 4000, mchange 4000, khalfani kwa serukamba kigoma mjini hata 200 hazikufika iweje yeye akiwa peke yake akazidiwe kura elf 15 zote?
 
Political behaviour kwa wale wana sayansi ya siasa wanajua. Bado hakuna jibu sahihi kuwa akienda this time atashinda ama la. BAVICHA waende kufanya utafiti na uhamasishaji kama walivyo wa pre empty Igunga na matokeo kuwa vile. Apewe nafasi bado kijana na anaweza kuwa amachange zaidi. Ni nafasi ya kuwawezesha vijana sasa. Vijana ni taifa la leo na kesho
 
Ndugu wana jf
Joshua Nasary ndie aliyepeperusha bendera ya chama chetu mwa 2010 kwa nafasi ya ubunge ktk jimbo hilo na mwishoni hakufanikiwa kushinda.
Marehemu Jeremia sumari alikuwa mgonjwa kipindi chote cha kampeni na hakuhutubia mkutano hata mmoja bali wana-ccm wenzake ndio waliompigia kampeni na kuibuka mshindi.
Mimi binafsi nina mashaka na uwezo wa huyo kijana wetu juu ya kuweza kulichukua jimbo hili wakati wa uchaguzi mdogo, Km ktk kipindi cha kampeni alikuwa peke yake ila ameshndwa, je atawezaje kushinda ktk kipindi ambacho ccm nao watakuwa na mgombea ambae atajipigia kampeni?
Chadema km chama kinatakiwa kusimamisha mgombea ambae tuna asilimia nyingi za kushinda na sio kuridhishana eti kwa kuwa yy aligombea 2010 basi na sasa awe huyo huyo.

acha porojo zako wewe.Tulikuwa tunajadili hiki kitu hapa jana.Watu wa Arumeru wanamtambua huyu kijana kama mbunge wao.Kulikuwa na wizi mkubwa kwenye kura.Vituo vingi chadema haikuwa na mawakala.Jana kuna hoja ililetwa hapa mafisadi wa ccm wanaanza kula njama huyu kijana asigombee.Kuna hata thread moja niliona Edwin Mtei akikiri ushujaa wa huyu kijana.
 
Nadhani huyu kijana alifanya kazi kubwa kwanza kumbuka chadema haikujulikana kabisa lakini amekitambulisha,nadhani anao mtaji mzuri na ameshajijenga vywakutosha.
 
hivi huu ni ukurupukaji kwamba umewai kuandika ama ni nini???? Thread kama hizi ni za kufutwa ktk muda kama huu wa maombolezo, ubinadamu kazi sana..

RIP Sumari.
 
Chadema mgombea anapatika baada ya primary hayo mengine ni majungu tu. Pia kumbukwa unaweza kuwa kipenzi cha wanachadema lakini si cha wanajimbo wote!
 
Political behaviour kwa wale wana sayansi ya siasa wanajua. Bado hakuna jibu sahihi kuwa akienda this time atashinda ama la. BAVICHA waende kufanya utafiti na uhamasishaji kama walivyo wa pre empty Igunga na matokeo kuwa vile. Apewe nafasi bado kijana na anaweza kuwa amachange zaidi. Ni nafasi ya kuwawezesha vijana sasa. Vijana ni taifa la leo na kesho

Mkuu huyu kijana anaungwa mkono sana.Na CDM wakijidanganya wasipomsimamisha watapigwa mweleka vibaya sana.Nenda Arusha yote ulizia Nassary wanamjua.Mikikimikiki yote ya kisiasa hapa Arusha hakosekani.
 
Tofauti ya kura ni 15, 438. Mimi nakubali kuwa ccm watakuwa walichakachua lkn hyo haitoshi coz hawajachakachua jimboni kwake tu, tazama watu km wenje, kiwia, nyerere, mnyika,mdee pamoja na hila za ccm ila walishinda. pia hata ukitizama watu ambao hawakushinda ktk majimbo yao na wagombea wa ccm walikuwepo ila walitoa ushindani mkubwa na walizidiwa kidogo mfano mchange wa kibaha, marehemu regia, shelembi wa shy, khalfan wa kigoma, mpendazoe na wengine wengi tu.

Tatizo langu kwa kijana wetu huyu ni kwamba kwanza hakuwa na mpinzani ila akapata kura chache sana je km angekuwa na mpinzani ungetegemea apate ngapi? hapa wanachadema tunatakiwa kufanya analysis vzr kwa manufaa ya chama na sio kufurahishina binafsi

Mkuu inaonekana una chuki kubwa na kijana Nassary.Ama unataka kumchafua ili ugombee wewe.Ama umetumwa na mafisadi.
 
Nadhani huyu kijana alifanya kazi kubwa kwanza kumbuka chadema haikujulikana kabisa lakini amekitambulisha,nadhani anao mtaji mzuri na ameshajijenga vywakutosha.

Mkuu huyu kijana aliwapelekesha magamba mpaka wakajuta kuzaliwa.
 
Yatakuwa kama yale ya Igunga kwa CUF,mtaji wa kura 11elfu badala yake wakaambulia kura elfu 2!kuweni makini cdm!Napendekeza Dr W.P.Slaa akagombee!lazima atakomba zaidi ya 80+% za kura.
 
acha porojo zako wewe.Tulikuwa tunajadili hiki kitu hapa jana.Watu wa Arumeru wanamtambua huyu kijana kama mbunge wao.Kulikuwa na wizi mkubwa kwenye kura.Vituo vingi chadema haikuwa na mawakala.Jana kuna hoja ililetwa hapa mafisadi wa ccm wanaanza kula njama huyu kijana asigombee.Kuna hata thread moja niliona Edwin Mtei akikiri ushujaa wa huyu kijana.

Mtei sio mungu kiasi cha kukufanya ukashindwa kuwa na mawazo yako binafsi kisa yeye kasema, nautambua na kuuheshimu mchango wa mtei ktk chama na taifa kwa ujumla.
 
Back
Top Bottom