mdetichia
JF-Expert Member
- Feb 13, 2015
- 5,292
- 2,169
Usimwamshe aliyelala........Bora hata UDOM cha majuzi tu hakina hata historia,ila wama UDSM wamekuwa wakitamba sana kwamba ni chuo bora Africa Mashariki na kati,nashangaa hata hakikuzungumziwa.Tatizo ma prof badala ya kujikita na utafiti wanafanya siasa.