Ubora wa vyuo vikuu duniani: Oxford chaongoza duniani, Cape Town chaongoza bara la Afrika

_91344199_9ba38105-603d-4b23-a9e8-852c43503e00.jpg


Chuo kikuu cha Oxford kimeibuka kidedea katika orodha ya vyuo vikuu bora duniani ya Times Higher Education. Hi ni mara ya kwanza kwa chuo kikuu cha Uingereza.

Oxford imeisukuma katika nafasi ya pili, California Institute of Technology, ambayo imekuwa ikiongoza orodha hiyo kwa miaka mitano iliopita .

Katika orodha ya vyuo vikuu bora barani Afrika, chuo kikuu cha Cape Town kimeibuka wa kwanza kutoka Afrika kusini kwenye orodha hiyo ya Times Higher Education.

Inadhihirisha umahiri wa taifa hilo, ambalo vyuo vyake vikuu 6 vipo katika nafasi za vyuo vikuu 15 bora kikwemo chuo cha Witwatersrand katika nafasi ya pili, Stellenbosch nafasi ya tatu, tChuo kikuu cha KwaZulu-Natal katika nafasi 5 na chuo kikuu cha Pretoria katika nafasi ya sita.

Makerere kilichopo Uganda ndiyo chuo kikuu nje ya Afrika kusini kufanikiwa kuwa atika nafasi ya nne.

Vyengine ni chuo kikuu cha Ghana katika nafasi ya 7, na chuo kikuu cha Nairobi katika nafasi ya 8.

Orodha ya Times Higher Education duniani inapima vitu kama mafunzo, utafiti, na mtazamao wa kimaaifa - kwa mfano, idadi ya wanafunzi wanaotoka nje na wafanyakazi.

Nico Cloete, mkurugenzi wa taasisi ya Higher Education Trust na mratibu wa utafiti wa elimu ya juu na Advocacy Network in Africa, anasema taasisi hizo nne katika orodha ya Afrika - Cape Town, Makerere, Nairobi na Ghana - "zimeidhinisha mipango ya kuwa vyuo vikuu vinavyoongoza kwa utafiti" nchini mwao na vimeshuhudia "ongezeko kubwa kwa wanaofuzu kwa ushahada ya uzamifu na kuunda taasisi za utafiti katika miaka mitano iliopita".


Chanzo: BBC Swahili

Vyuo 30 bora Afrika.

Rank
1 University of Cape Town - South Africa
2 University of the Witwatersrand - South Africa
3 Makerere University - Uganda
4 Stellenbosch University - South Africa
5 University of KwaZulu-Natal - South Africa
6 University of Port Harcourt - Nigeria
7 University of the Western Cape - South Africa
8 University of Nairobi - Kenya
9 University of Johannesburg - South Africa
10 University of Marrakech Cadi Ayyad - Morocco
11 University of Pretoria - South Africa
12 University of Ghana - Ghana
13 University of South Africa - South Africa
14 Suez Canal University - Egypt
15 University of Hassan II Casablanca - Morocco
16 Addis Ababa University - Ethiopia
17 Rhodes University - South Africa
18 University of the Free State - South Africa
19 North-West University - South Africa
20 University of Tunis - Tunisia
21 Ecole Nationale d’Ingénieurs de Sfax - Tunisia
22 Université Mohammed V – Agdal - Morocco
23 American University in Cairo - Egypt
24 Nelson Mandela Metropolitan University - South Africa
25 South Valley University - Egypt
26 Alexandria University - Egypt
27 Assiut University - Egypt
28 University of Sfax - Tunisia
29 University of Yaounde I - Cameroon
30 Minia University - Egypt

E bana! Tusaidiane UDSM hakipo????
Siyo kwa Majigambo yale jamani///SometimesMchezohuu unahitaji hasira///
Maana sisi wengine wa CBE na Open Tunaonekana hata Madaftari yetu siyo.
 
Bora hata UDOM cha majuzi tu hakina hata historia,ila wama UDSM wamekuwa wakitamba sana kwamba ni chuo bora Africa Mashariki na kati,nashangaa hata hakikuzungumziwa.Tatizo ma prof badala ya kujikita na utafiti wanafanya siasa.
Hili ndo tatizo letu watz!

Wahadhiri badala ya kudeal na tafiti wao wanadeal na matumbo yao!

Siasa nyingii!
 
Huwa sitakagi masihara kamgogoro kadogo tu ka Zanzibar, ndo hasira mmezipeleka kwa UDSM, naomba hiyo list wai update tena .......
 
UDSM sijui wamekuwaje aisee
hili nlijua litatokea baada ya kikwete kupewa ukuu wa chuo!! ni dalili mbaya kwa udsm... BTW hii ni nafasi nzuri kwa SUA na MUHIMBILI kuchukua nafasi!!
naona ****** mmeshupalia udsm tu.mbona hamhoji hivyo vijivyuo uchwara vyenu?

E bana! Tusaidiane UDSM hakipo????
Siyo kwa Majigambo yale jamani///SometimesMchezohuu unahitaji hasira///
Maana sisi wengine wa CBE na Open Tunaonekana hata Madaftari yetu siyo.

Wana UDSM mpo wapi? Kazi kukandia vyuo vikuu vingine mitandaoni kila kukicha...!

Udsm n chuo kikongwe sio kikubwa

Wapi UDSM? Tantalilaa nyingii kumbe cha topeni tu.
 
Wasalaam wanajukwaa.

Katika orodha ya vyuo bora Africa iliyotolewa mwaka huu 2016 na mtandao wa Times Higher Education (THE), Tanzania haina chuo hata kimoja katika orodha hiyo tofauti na miaka ya nyuma.

Orodha ya Times Higher Education duniani inapima vitu kama
=>mafunzo,
=>utafiti,
=>na mtazamo wa kimataifa.
Kwa mfano, idadi ya wanafunzi wanaotoka nje na wafanyakazi.

Nico Cloete, mkurugenzi wa taasisi ya Higher Education Trust na mratibu wa utafiti wa elimu ya juu na Advocacy Network in Africa, anasema taasisi hizo nne katika orodha ya Afrika - Cape Town, Makerere, Nairobi na Ghana - "zimeidhinisha mipango ya kuwa vyuo vikuu vinavyoongoza kwa utafiti" nchini mwao na vimeshuhudia "ongezeko kubwa kwa wanaofuzu kwa ushahada ya uzamifu na kuunda taasisi za utafiti katika miaka mitano iliopita".

Je, sisi kama Tanzania tunakwama wapi? Na nini kifanyike ili elimu ya vyuo vikuu vyetu ipande katika viwango vya kimataifa?

Top 30 African universities: Times Higher Education reveals snapshot university ranking

Je unavitambua vyuo vikuu bora duniani? - BBC Swahili
Tatizo la vyuo vyetu hapa Tanzania vinaendeshwa kisiasa na havitoweza kupiga hatua zaidi kama siasa na taasisi za elimu isipotenganishwa.
 
_91344199_9ba38105-603d-4b23-a9e8-852c43503e00.jpg


Chuo kikuu cha Oxford kimeibuka kidedea katika orodha ya vyuo vikuu bora duniani ya Times Higher Education. Hi ni mara ya kwanza kwa chuo kikuu cha Uingereza.

Oxford imeisukuma katika nafasi ya pili, California Institute of Technology, ambayo imekuwa ikiongoza orodha hiyo kwa miaka mitano iliopita .

Katika orodha ya vyuo vikuu bora barani Afrika, chuo kikuu cha Cape Town kimeibuka wa kwanza kutoka Afrika kusini kwenye orodha hiyo ya Times Higher Education.

Inadhihirisha umahiri wa taifa hilo, ambalo vyuo vyake vikuu 6 vipo katika nafasi za vyuo vikuu 15 bora kikwemo chuo cha Witwatersrand katika nafasi ya pili, Stellenbosch nafasi ya tatu, tChuo kikuu cha KwaZulu-Natal katika nafasi 5 na chuo kikuu cha Pretoria katika nafasi ya sita.

Makerere kilichopo Uganda ndiyo chuo kikuu nje ya Afrika kusini kufanikiwa kuwa atika nafasi ya nne.

Vyengine ni chuo kikuu cha Ghana katika nafasi ya 7, na chuo kikuu cha Nairobi katika nafasi ya 8.

Orodha ya Times Higher Education duniani inapima vitu kama mafunzo, utafiti, na mtazamao wa kimaaifa - kwa mfano, idadi ya wanafunzi wanaotoka nje na wafanyakazi.

Nico Cloete, mkurugenzi wa taasisi ya Higher Education Trust na mratibu wa utafiti wa elimu ya juu na Advocacy Network in Africa, anasema taasisi hizo nne katika orodha ya Afrika - Cape Town, Makerere, Nairobi na Ghana - "zimeidhinisha mipango ya kuwa vyuo vikuu vinavyoongoza kwa utafiti" nchini mwao na vimeshuhudia "ongezeko kubwa kwa wanaofuzu kwa ushahada ya uzamifu na kuunda taasisi za utafiti katika miaka mitano iliopita".


Chanzo: BBC Swahili

Vyuo 30 bora Afrika.

Rank
1 University of Cape Town - South Africa
2 University of the Witwatersrand - South Africa
3 Makerere University - Uganda
4 Stellenbosch University - South Africa
5 University of KwaZulu-Natal - South Africa
6 University of Port Harcourt - Nigeria
7 University of the Western Cape - South Africa
8 University of Nairobi - Kenya
9 University of Johannesburg - South Africa
10 University of Marrakech Cadi Ayyad - Morocco
11 University of Pretoria - South Africa
12 University of Ghana - Ghana
13 University of South Africa - South Africa
14 Suez Canal University - Egypt
15 University of Hassan II Casablanca - Morocco
16 Addis Ababa University - Ethiopia
17 Rhodes University - South Africa
18 University of the Free State - South Africa
19 North-West University - South Africa
20 University of Tunis - Tunisia
21 Ecole Nationale d’Ingénieurs de Sfax - Tunisia
22 Université Mohammed V – Agdal - Morocco
23 American University in Cairo - Egypt
24 Nelson Mandela Metropolitan University - South Africa
25 South Valley University - Egypt
26 Alexandria University - Egypt
27 Assiut University - Egypt
28 University of Sfax - Tunisia
29 University of Yaounde I - Cameroon
30 Minia University - Egypt
Bongo hamna, duuu ndio maana mambo yetu magumu sana kwenye UCHUMI
 
Wasalaam wanajukwaa.

Katika orodha ya vyuo bora Africa iliyotolewa mwaka huu 2016 na mtandao wa Times Higher Education (THE), Tanzania haina chuo hata kimoja katika orodha hiyo tofauti na miaka ya nyuma.

Orodha ya Times Higher Education duniani inapima vitu kama
=>mafunzo,
=>utafiti,
=>na mtazamo wa kimataifa.
Kwa mfano, idadi ya wanafunzi wanaotoka nje na wafanyakazi.

Nico Cloete, mkurugenzi wa taasisi ya Higher Education Trust na mratibu wa utafiti wa elimu ya juu na Advocacy Network in Africa, anasema taasisi hizo nne katika orodha ya Afrika - Cape Town, Makerere, Nairobi na Ghana - "zimeidhinisha mipango ya kuwa vyuo vikuu vinavyoongoza kwa utafiti" nchini mwao na vimeshuhudia "ongezeko kubwa kwa wanaofuzu kwa ushahada ya uzamifu na kuunda taasisi za utafiti katika miaka mitano iliopita".

Je, sisi kama Tanzania tunakwama wapi? Na nini kifanyike ili elimu ya vyuo vikuu vyetu ipande katika viwango vya kimataifa?

Top 30 African universities: Times Higher Education reveals snapshot university ranking

Je unavitambua vyuo vikuu bora duniani? - BBC Swahili
Tatizo imekuwa ni mifumo ya elimu yetu toka O level na A level,wengi wao watoto wa wakulima tumesoma shule zetu hizi za serikali,tumekariri na kukalilishwa sanaa,tukienda Chuo tukamaliza wengi wao hatuna confidence, hata ya kudhubutu kutafuta nje ya Tanzania,tunasubiri hii serikali yetu ndo itupatie ajira,ni wachache sana wanao thubutu kujiajiri kwa taaluma zao.Pia hao ma Dr. na ma Pro. Hawaumizi vichwa kufanya tafiti za maana,matokeo yake zinatoka hizo tafiti kama za TWAWEZA mtaani uko.
 
natofautiana sana na Mzee LOWASA lakini kwenye maono yake ya elimu kuhusu taifa hili nampongeza sana. kama juzi alisema wazi yeye angeanza na walimu
Kwanini asisitize kuanza na walimu wakati jpm yeye kaanza na madawati na sizani kama anawaza maslahi bora ya Mwl
kwa nn nchi inashindwa kuwa angalia walimu sababu elimu bora inaanzia chini hapo ndo tutaweza kudumu
Hapo ndio utaona tofauti kati ya visionary leader na manager
 
Unapoona wanataaluma wengi wanashika nafasi za kisiasa ni dalili mbaya.
Note.Tofautisha kati ya mwanataaluma na mtaalamu
 
  • Thanks
Reactions: Izc
4 Reactions
Reply
Back
Top Bottom